jafari mwijae
Senior Member
- Jan 9, 2014
- 181
- 39
huu ni mwanzo mzuri hvyo bac itakuwa mbaya kama graph ya shule itashuka lakini tunaona inapanda vilevile tunazungumzia mtihani wa tahosa sio necta kwani hata necta idadi ya wanaoenda kidato cha tano inaongezekaongereni kina sir bayo ,jafari ,jery ,chenya,tosi,kapinga yasint,sophia matembo,kasimba ,bombile......kwa kazi safi.fagilia wawaààa!
Mhhh hadi peramiho wamepotezwa na mfaranyaki...!!!
.Binafsi nilifikiri umechukua kigezo cha matokeo ya kidato cha 4 japo kuwa yamechakachuliwa grade range. Sasa mtihani wenyewe sio varidy in terms of marking wameenda chaka sehemu kibao . Binafsi sikuungi mkono je unajuaji kama walisimamiwa vizuri . Shule inayokuja kwa kasi songea manispaa ni BOMBABILI mama mwasi anatisha . Umeona matokeo ya form 4.-2013
.
Kaka hapo tu ume nikuna karoho kame suuzika yaani MAMA MWASI ana stahili sana pongezi na upole wake mama yule
.
Afu ktk shule kongwe zinazopotea ni MSAMALA/MFARANYAKI secondary yaani shule kongwe iliyo kuwa ikitegemewa sasa hivi n madudu tu....
.
Wamekanyagwa vibaya kabisa na wenzao BOMBAMBILI secondary kuanzia mock mpaka NECTA hebu jiulize BOMBAMBILI secondary ni shule ya kata tu kama zilivyo nyingine afu ni ya 526 kitaifa na ya 12 kimkoa
.
Huyu mtu jacksonduma nae aliwasaidia sana madogo pale... BM2 ashukuliwe sana mwangalaba, fusi, jsasu, n.k
Shule zote mfaranyaki/msamala zinazidi tu kupotea
.
Mkuu huyoo fusi ni yule aliyesoma songea boys then akaenda udom??
Mkuu huyoo fusi ni yule aliyesoma songea boys then akaenda udom??
mfaranyaki si kongwe ni ya kata
Duh wadau mmenikumbusha mbali sana enzi za box 2 ni noumer tulikuwa hatushikiki hapo songea walikuwa wanatuelewa vizur linapokuja swala la shule na mamboo mengine
Nimemiss sana poraa na mayao
Iliniuma sana niliposikia eti zile shule tisa za mwisho za matokeo ya form four mwaka jana eti zilitoka mkoani kwetu...ni kweli mr kadoda
wanaruvuma hawana budi kujibiidisha katika masomo.