jafari mwijae
Senior Member
- Jan 9, 2014
- 181
- 39
Katika matokeo ya mtihani wa kufungia Shule wa mwisho wa muhula wa 2013 uliouhusisha kidato cha tatu na nne maarufu mtihani wa tahosa Vijana wamekuwa wapili katika mtihani huo kati ya shule zilizopo katika manispaa ya songea huku somo la physics likiwa la kwanza kuongoza wakifatiwa na Songea boys katika somo la Physics .katika mtihani huo Pongea boys iliongoza .Ongera sana headmaster wa Mfaranyaki Secondary School Mr.Kauga