.
Kaka post yangu yote sijataja mfaranyaki isome tena
.
Lakini mfaranyaki imewahi kuwa na wanafunzi wengi wenye mimba nadhani tatizo ni kuwa mjini sana
.
Suala la utoro ni tatizo sugu si kwa Mfaranyaki peke yake,pia swala la uhusiano wa ki mapenzi its obvious kuwa Mkoa mzima wa Ruvua watoto na watu wazima wako very oriented kwenye ngono,so sidhani kama hila swala lina wahusu wanafunzi wa Mfaranyaki peke yake,mkoa wa Ruvuma watu wengi wana thamini sana ngono kuliko swala zima la maendeleo na taaluma kwa ujumla
vipi kuhusu ile kambi ya form 4 unataka kuniambia kuwa ndio mlikuwa mnatimiza culture yao ya kupenda ngono.swali ?mlikuwa hamjui au hamwaoni wanachofanya wanafunzi? Mwalimu wa malezi hakujua hili? Vipi kuwa ya 16 kati ya 22? Jitete .
Kwa takwimu zilizopo,shule inayo ongoza kwa wanafunzi wa kike kuacha shule kwa kupata ujauzito ni Matalawe ikifuatiwa na London,
.
Ki ujumla watoto wame elimika now mkuu nao wanafanya Family planning methods
.
.
Family planning bado sana mkuu hapa Ruvuma,kama una bisha jaribu kufanya simple research siku za clinic uone idadi ya wazazi wanao enda clinic na watoto wao,Alhamisi ya tarehe 27/3 nilikua Mji Mwema hospital kikazi,nilicho jionea kilikua balaa,kikubwa fertility rate na birth rate kwa wanawake ni kubwa sana kwenye mkoa huu
Katika matokeo ya mtihani wa kufungia Shule wa mwisho wa muhula wa 2013 uliouhusisha kidato cha tatu na nne maarufu mtihani wa tahosa Vijana wamekuwa wapili katika mtihani huo kati ya shule zilizopo katika manispaa ya songea huku somo la physics likiwa la kwanza kuongoza wakifatiwa na Songea boys katika somo la Physics .katika mtihani huo Pongea boys iliongoza .Ongera sana headmaster wa Mfaranyaki Secondary School Mr.Kauga
shana boy umeshaishi mikoa mingapi hapa Tanzania'
Kwa takwimu zilizopo,shule inayo ongoza kwa wanafunzi wa kike kuacha shule kwa kupata ujauzito ni Matalawe ikifuatiwa na London,