Shana Boy
Member
- Apr 20, 2013
- 32
- 5
.
Kaka post yangu yote sijataja mfaranyaki isome tena
.
Lakini mfaranyaki imewahi kuwa na wanafunzi wengi wenye mimba nadhani tatizo ni kuwa mjini sana
.
Kwa takwimu zilizopo,shule inayo ongoza kwa wanafunzi wa kike kuacha shule kwa kupata ujauzito ni Matalawe ikifuatiwa na London,