"Mficha Uchi hazai". Nimeamua kuja kupasua jipu

Sheria ya China inamruhusu mwanamke kumwua mme msaliti endapo tu atakuwa na ushahidi wa kutosha dhidi yake, kwa hiyo mbongo hawezi kuoa mchina.
 
Huitaji kujieleza sana weka picha tu inatosha.watakuja wenyewe
 
Acha uvivu ingia mitaani ujitafutie mwenyewe
Tena hamba sehem yenye watoto wazuri kama mitaa ya Mbagala. Tofauti inaweza kuwa ni exposure na vigezo vya elimu lakini kwa wife materials,Mbagala kutamu kuliko maeneo ya kujirusha kama Sinza,Tabata na Kinondoni au maeneo ya kishua kama Masaki,O'bay,Mbezi Beach na Mbweni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unaona ni kazi sana?tunatofautiana uelewa na akili.malezi na pia exposure.ni vitu vidogo sana. Ila nmeshangaa wwe umeona ni kitu kikubwa...

Aisee...mgeni kajua kutag na wenyeji hawawezi mpka sasa. Kweli China kuna maendeleo ya tknolojia ya mitambo na U SPY.
 
Everyone has their choice.just respect mine. Heshima ni kitu cha bure sana kwa wanawake wenye ufaham.wewe watumie hao uliowataja kwa nini unipangie maisha mama?

Umeshindwa kumwambia Mama/Baba, Shangazi/Mjomba, Dada/Kaka hata shekh wakutafutie mchumba mpaka uje utafute kwenye mtandao!!

Eti "tukishazoeana kidogo ndio tutatumiana picha"
Lol 'insecured'

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Everyone has their choice.just respect mine. Heshima ni kitu cha bure sana kwa wanawake wenye ufaham.wewe watumie hao uliowataja kwa nini unipangie maisha mama?
Nani kakupangia maisha?
do i know you?? hell no,
that was an advice and nothing more you can take it or leave it.... Maneno yangu sio sheria.

Heshima??? dude, you have issues.

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…