"Mficha Uchi hazai". Nimeamua kuja kupasua jipu

"Mficha Uchi hazai". Nimeamua kuja kupasua jipu

Yu meant that was an advice? Take your advice and shove it up your a**. Acha wanawake wanaojielewa dada... Wala siyo big deal.
My middle Finger Salute you.... [emoji16][emoji16]

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Tena hamba sehem yenye watoto wazuri kama mitaa ya Mbagala. Tofauti inaweza kuwa ni exposure na vigezo vya elimu lakini kwa wife materials,Mbagala kutamu kuliko maeneo ya kujirusha kama Sinza,Tabata na Kinondoni au maeneo ya kishua kama Masaki,O'bay,Mbezi Beach na Mbweni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nadhani unatania, mbagala hakuwezi kuwa na watoto wazuri kuliko hizo prime areas
 
Me nadhani tusimunyoshee vidole kwa maamuzi yake haya, hata mbele huko kuna Dating sites ambazo zinawahelp sana watu katika masuala ya relationships hivyo sioni makosa, na isitoshe kila mtu ana maamuz na maono yake, maybe chinese women don't fit his lifesthle au yeye haendani nao so me nadhan suala la kutafuta mtu wa kuwa na relationship nae ni popote pale muhimu tu nj nyinyi kuwa wakweli na kuepuka kupotozeana mda.
Hakuna sheria wala indication wala directory inayosema wapi na sehemu gani utampata mke, na cha kustajaabisha humu humu unaweza pata mkuu, all the best bt isiwe tu unatuchezea ka mchezo kakupata comments na likes kwenye thread yako mana wewe ndo utachezewa but kama nia unayo mkuu all da best

KAABAD THE GREAT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom