"Mficha Uchi hazai". Nimeamua kuja kupasua jipu

umeshazoea kutumiwa na hicho kidole to the extent you think its just normal. huo mdomo ndo unautumia kwa kula? why umeumia sana na kutoa maneno machafu.. dya really kiss people with the same mouth?
My middle Finger Salute you.... [emoji16][emoji16]

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
watu wengine wana upuuzi na mdumao wa akili. kil amtu ana namna anataka aishi. sijaona why wengine wapate shida kwa maamuzi yangu binafsi. kama napata mtu wa kudate humu au sehemu ya wanawake wanaojiuza hii sidhani kama ni concern yao. but kuna wanawake mpaka wanatokwa na mapovu kwa jambo hili.

 
Kweli ujanja ni kusoma na kutembea fikra haziwezi kupanuka kama huna hata moja ya mambo hayo mawili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadada wengi wenye elimu kubwa huwa si warembo ,sura za kawaida sana,
Kama unataka mrembo tafuta wale wenye elimu ya business studies, uhasibu nk
 
Kila la kheri mpendwa! Utapata ucjar
 
Yani unataka kusema umeshindwa kuoa mchina kabisa? hata mchina kichaa ungeoa tu,nadhani mchina kichaa ana maarifa sawa na hao wanawake wa kibongo unaowataka.
 
Kila lakheri ila mwonyesha baba yako hii cv ailingaanishe na ya mama then use na mrejesho muhimu sana kuwashirikisha waliokuleta duniani
 
Reactions: amu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…