Mfikishieni salamu Freddy Michael Koublan, lawama zote leo anabeba yeye vs Kagera

Mfikishieni salamu Freddy Michael Koublan, lawama zote leo anabeba yeye vs Kagera

Itoshe kusema ubinafsi.achana na yeye kukosa kulenga lango amepata nafasi za kuweka assist wenzie wafunge anapgapga tu.hata ile last game ya mbili bila hakutaka kufanya assist akajipigia bahati nzuri ikapga nguzo mwenzie akatupia cha pili.anaforce kubaki kwenye timu kwani akija mitandaoni,anaona yuko kwenye red line ya wachambuz na mashabiki.
 
Mimi huyu jamaa simkubali kabisa, Simba kweli tunamtegemea striker wa design hii kweli? Draw ya ajabu sana hii....
Kwani alikuwa anacheza peke yake? Kwa nini tusiwalaumu na akina Chasambi? Huyu ndiye mlisema anamzidi Baleke? Viongozi wa Simba ni takataka!
 
NIMESOMA SEHEMU KAONGEZEWA NA MKATABA KHA
Kwa uongozi wa sasa uliopo pale Simba inawezekana kabisa na wala sitashangaa. Kama ni kweli hao viongozi walikuwa wana haraka gani hata ligi haijaisha au walisikia kuna timu inamtaka wakaona wao wamuwahi mapema!!!!

Fredy, Onana na Jobe hawana hadhi ya kuchezea Simba inayotaka kwenda nusu fainali Afrika. Ila kwa Simba hii ya wajanja wajanja wa 10% hata usajili ujao ni mashaka matupu. Viongozi kupitia msemaji wao na chawa wao wameshaanza kumpigia debe tena wana msemo wao kabisa kuwa " Freddy ni mali"
 
Kwa uongozi wa sasa uliopo pale Simba inawezekana kabisa na wala sitashangaa. Kama ni kweli hao viongozi walikuwa wana haraka gani hata ligi haijaisha au walisikia kuna timu inamtaka wakaona wao wamuwahi mapema!!!!

Fredy, Onana na Jobe hawana hadhi ya kuchezea Simba inayotaka kwenda nusu fainali Afrika. Ila kwa Simba hii ya wajanja wajanja wa 10% hata usajili ujao ni mashaka matupu. Viongozi kupitia msemaji wao na chawa wao wameshaanza kumpigia debe tena wana msemo wao kabisa kuwa " Freddy ni mali"
10 percent inaua sokaletuuu
 
Mashabiki wa Simba ni wapumbavu ..... Litimu libovu mkishinda kimechi kimoja Tena chakubebwa basi midomo kama kasuku....!.
Mashabiki wa Simba ni wapumbavu ..... Litimu libovu mkishinda kimechi kimoja Tena chakubebwa basi midomo kama kasuku....!.
Tulilipa deni kuwafunga Azam maan waliwakanda kisawasawa
 
Back
Top Bottom