SoC04 Mfuko wa uwekezaji wa pamoja (UTT AMIS) uunganishwe na mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) ili kuwakwamua Watumishi wa Umma

SoC04 Mfuko wa uwekezaji wa pamoja (UTT AMIS) uunganishwe na mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) ili kuwakwamua Watumishi wa Umma

Tanzania Tuitakayo competition threads

Mpishimzoefu

New Member
Joined
May 27, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Watumishi wa Umma wamekuwa wakipitia changamoto za kifedha kwasababu ya kukosa kipato Cha ziada,Iwapo mifuko hii itaunganishwa changamoto hii inaweza kupungua.

Kwanza nianze na kueleza maana ya mifuko hii

1. NSSF Ni mfuko wa hifadhi ya jamii ambao unamsaidia mfanyakazi wa Umma au Taasisi binafsi kwa kumuwekea Hakiba yake ya badae

2. UTT AMIS Huu ni mifuko wa pamoja wa uwekezaji, ambao mwekezaji anaweka fedha zake na anapata faida

Umuhimu wa kuunganisha hii mifuko nikama ifuatavyo

Kwakuwa Nssf wanapokea michango ya wanachama na kutumia fedha zao bila riba au gawio,na kuzitumia hizo fedha kufanya miradi mbalimbali. ambayo inailetea faida Serikali ambapo wanachama hawapati ongezeko kutokana na fedha zao
kuzalishwa

Huku wao wakikabiliwa na Upungufu wa kipato,Kuunganishwa kwa mifuko hii kutawaidia watumi wa Umma Kuongeza kipato.

lLakini pia kupunguza Umaskini miongoni mwao, hasa tukizingatia Ufanisi wa mfuko wa UTT AMIS ambao Mtumishi wa Umma anaweza Kuchagua aina ya uwekezaji anaotaka kuufanya
kulingana na mfuko husika. Mfano Kuna mifuko inayotoa gawio na ile ya kukuza mtaji kwa uwekezaji wa muda mrefu na muda mfupi.

Sehemu pekee ya kupata hizo fedha kwaajiri ya uwekezaji huo ni Nssf Kwa maana kwamba dhana ya kuunganisha mifuko hii sio kumfanya Mtumishi atumie fedha zake za baadae, Ila
kufanya fedha yake anayokatwa imletee faida ambayo itamsaidia kufanya maendeleo yake mengine.

Pia tukumbukuke kuwa fedha za watumishi zinazowekwa kwenye mfuko wa Nssf ndizo hutumiwa na serikali Kama chanzo Cha mikopo hivyo Serikali hutumia pesa hizo bila wahusika kupata riba

Mfuko wa Hati Fungani
Huu mfuko unaweza kuwafaa Sana watumishi wa Umma, na kuwakomboa na mzigo wa Mikopo umiza na madeni. Mf,wakiweza kuunganishwa namfuko huu wanaweza kunufaika na gawio la kila mwezi ambapo kiwango Cha kuanza nachoni Tsh 10,000,000

Hivyo Serikali inaweza kuanzia hapo,Kwakuwaingiza Moja kwa Moja watumishi watakokuwa wametimiza kiasi hicho kwenye mfuko wa Nssf na kuwawekezea fedha hizo kwenye mfuko wa Hati Fungani wa Utt amis.

Lakini kuwaruhusi tu kuchukua faida ya kila mwezi Wala sio ule mtaji uliyowekezwa.

Na baadae kuwapa fursa zaidi kulingana na kiwango Cha fedha zao zoitakavyokuwa zinaongezeka kwenye mfuko wa Nssf

Kama vile kuwaunganisha kwenye mfuko wa Wekeza maisha ambao una faida zaidi kuliko huo nilioutaja hapo Juu.
 
Upvote 6
Watumishi wa Umma wamekuwa wakipitia changamoto za kifedha kwasababu ya kukosa kipato Cha ziada,Iwapo mifuko hii itaunganishwa changamoto hii inaweza kupungua.

Kwanza nianze na kueleza maana ya mifuko hii

1. NSSF Ni mfuko wa hifadhi ya jamii ambao unamsaidia mfanyakazi wa Umma au Taasisi binafsi kwa kumuwekea Hakiba yake ya badae

2. UTT AMIS Huu ni mifuko wa pamoja wa uwekezaji, ambao mwekezaji anaweka fedha zake na anapata faida

Umuhimu wa kuunganisha hii mifuko nikama ifuatavyo

Kwakuwa Nssf wanapokea michango ya wanachama na kutumia fedha zao bila riba au gawio,na kuzitumia hizo fedha kufanya miradi mbalimbali. ambayo inailetea faida Serikali ambapo wanachama hawapati ongezeko kutokana na fedha zao
kuzalishwa

Huku wao wakikabiliwa na Upungufu wa kipato,Kuunganishwa kwa mifuko hii kutawaidia watumi wa Umma Kuongeza kipato.

lLakini pia kupunguza Umaskini miongoni mwao, hasa tukizingatia Ufanisi wa mfuko wa UTT AMIS ambao Mtumishi wa Umma anaweza Kuchagua aina ya uwekezaji anaotaka kuufanya
kulingana na mfuko husika. Mfano Kuna mifuko inayotoa gawio na ile ya kukuza mtaji kwa uwekezaji wa muda mrefu na muda mfupi.

Sehemu pekee ya kupata hizo fedha kwaajiri ya uwekezaji huo ni Nssf Kwa maana kwamba dhana ya kuunganisha mifuko hii sio kumfanya Mtumishi atumie fedha zake za baadae, Ila
kufanya fedha yake anayokatwa imletee faida ambayo itamsaidia kufanya maendeleo yake mengine.

Pia tukumbukuke kuwa fedha za watumishi zinazowekwa kwenye mfuko wa Nssf ndizo hutumiwa na serikali Kama chanzo Cha mikopo hivyo Serikali hutumia pesa hizo bila wahusika kupata riba

Mfuko wa Hati Fungani
Huu mfuko unaweza kuwafaa Sana watumishi wa Umma, na kuwakomboa na mzigo wa Mikopo umiza na madeni. Mf,wakiweza kuunganishwa namfuko huu wanaweza kunufaika na gawio la kila mwezi ambapo kiwango Cha kuanza nachoni Tsh 10,000,000

Hivyo Serikali inaweza kuanzia hapo,Kwakuwaingiza Moja kwa Moja watumishi watakokuwa wametimiza kiasi hicho kwenye mfuko wa Nssf na kuwawekezea fedha hizo kwenye mfuko wa Hati Fungani wa Utt amis.

Lakini kuwaruhusi tu kuchukua faida ya kila mwezi Wala sio ule mtaji uliyowekezwa.

Na baadae kuwapa fursa zaidi kulingana na kiwango Cha fedha zao zoitakavyokuwa zinaongezeka kwenye mfuko wa Nssf

Kama vile kuwaunganisha kwenye mfuko wa Wekeza maisha ambao una faida zaidi kuliko huo nilioutaja hapo Juu
Pumba tupu, nssf ni wa lazima na hio utt ni hiari, mwisho wa siku mnataka muiharibu utt kama mlivyoharibu hyo mifuko ya hifadhi. Yalaaniwe mawazo yako
 
Watumishi wa Umma wamekuwa wakipitia changamoto za kifedha kwasababu ya kukosa kipato Cha ziada,Iwapo mifuko hii itaunganishwa changamoto hii inaweza kupungua.

Kwanza nianze na kueleza maana ya mifuko hii

1. NSSF Ni mfuko wa hifadhi ya jamii ambao unamsaidia mfanyakazi wa Umma au Taasisi binafsi kwa kumuwekea Hakiba yake ya badae

2. UTT AMIS Huu ni mifuko wa pamoja wa uwekezaji, ambao mwekezaji anaweka fedha zake na anapata faida

Umuhimu wa kuunganisha hii mifuko nikama ifuatavyo

Kwakuwa Nssf wanapokea michango ya wanachama na kutumia fedha zao bila riba au gawio,na kuzitumia hizo fedha kufanya miradi mbalimbali. ambayo inailetea faida Serikali ambapo wanachama hawapati ongezeko kutokana na fedha zao
kuzalishwa

Huku wao wakikabiliwa na Upungufu wa kipato,Kuunganishwa kwa mifuko hii kutawaidia watumi wa Umma Kuongeza kipato.

lLakini pia kupunguza Umaskini miongoni mwao, hasa tukizingatia Ufanisi wa mfuko wa UTT AMIS ambao Mtumishi wa Umma anaweza Kuchagua aina ya uwekezaji anaotaka kuufanya
kulingana na mfuko husika. Mfano Kuna mifuko inayotoa gawio na ile ya kukuza mtaji kwa uwekezaji wa muda mrefu na muda mfupi.

Sehemu pekee ya kupata hizo fedha kwaajiri ya uwekezaji huo ni Nssf Kwa maana kwamba dhana ya kuunganisha mifuko hii sio kumfanya Mtumishi atumie fedha zake za baadae, Ila
kufanya fedha yake anayokatwa imletee faida ambayo itamsaidia kufanya maendeleo yake mengine.

Pia tukumbukuke kuwa fedha za watumishi zinazowekwa kwenye mfuko wa Nssf ndizo hutumiwa na serikali Kama chanzo Cha mikopo hivyo Serikali hutumia pesa hizo bila wahusika kupata riba

Mfuko wa Hati Fungani
Huu mfuko unaweza kuwafaa Sana watumishi wa Umma, na kuwakomboa na mzigo wa Mikopo umiza na madeni. Mf,wakiweza kuunganishwa namfuko huu wanaweza kunufaika na gawio la kila mwezi ambapo kiwango Cha kuanza nachoni Tsh 10,000,000

Hivyo Serikali inaweza kuanzia hapo,Kwakuwaingiza Moja kwa Moja watumishi watakokuwa wametimiza kiasi hicho kwenye mfuko wa Nssf na kuwawekezea fedha hizo kwenye mfuko wa Hati Fungani wa Utt amis.

Lakini kuwaruhusi tu kuchukua faida ya kila mwezi Wala sio ule mtaji uliyowekezwa.

Na baadae kuwapa fursa zaidi kulingana na kiwango Cha fedha zao zoitakavyokuwa zinaongezeka kwenye mfuko wa Nssf

Kama vile kuwaunganisha kwenye mfuko wa Wekeza maisha ambao una faida zaidi kuliko huo nilioutaja hapo Juu.
Ujinga mkuu

Pension scheme na voluntary pyramid?

Hii ni story of craps
 
Pumba tupu, nssf ni wa lazima na hio utt ni hiari, mwisho wa siku mnataka muiharibu utt kama mlivyoharibu hyo mifuko ya hifadhi. Yalaaniwe mawazo yako
Hata mods kuipa hii Kama soc ni kitu cha aibu
 
Back
Top Bottom