Mfululizo wa Kesi ya Ugaidi iliyokuwa ikimkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu

Mfululizo wa Kesi ya Ugaidi iliyokuwa ikimkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu

Mbowe ni wa kumpuuza sana tu!!! ..........hana lolote kwanza mtu mwenyewe Mayai sana yule! hana mshipa wa mapambano ya kweli!...nilivo kiona kwa Mbowe anataka umaarufu kama wa kina Mandela/sobukwe/Dedan kimathi/

na kina Tafawa Balewa/Murtala Mohamad/ Martin Luther king...ili atengeneze History ya kupendwa na kuhurumiwa Tanzania na Duniani kote !! lkn dolololo!! inagonga mwamba!

Rais Mama Samia alishamshutukia kitambo sana!!.... ambye aliingia kichwa kichwa bila kujua hii janja ni Jiwe...km mnavo jua lile jamaa halikuwa na akili timamu lilikuwa lina lipuka tu km moto wa kifuu!!...

yaani ningekuwa mie Rais hee!! mpaka Mbowe ange jidharau mwenyewe live hivi!!......na wasaidizi wa Jiwe hawakuwa Charismatic kumjua mtu fake!!...Mtaka umaarufu tu!! kupitia Siasa>..yule Familia ya Mbowe ina hela Mingi taangu utotoni!! Kupitia Hotel Bilicanas!

Zamani za Disco toto ukumbi wa Disco ''Mbowe roof clouds!! Baba yake alitajirishwa na sera hizo hizo za CCM, KupitiaMkono wa Nyerere!! akashiba mafanikio na kupata akili nzuri!! akaona huko ccm hatopata umaarufu! ndo kaja huku upinzani!

Ameshiba mpaka amepitiliza sasa anachokitafuta ni umaarufu tu!! mana chama nayo majingaaa yanashangilia tu!!.....yule ana Ma- clubs mpaka nje ya nchi!!..na huko wapo kina Mbowe wengi tu!

halafu yule hafanyi upinzani wa kweli kutoka moyoni .....yule anayo fanya ni show off tu!!....hata wanao mfuata ni vijana wa kichaga ambao hawakusoma!! ....ukiona kuna Msomi pale anafuatana na Mbowe basi jua wako pamoja kutengeneza scenario fake!!!

Mbowe ni tajiri anaye penda Siasa ili kutangaza biashara zake!! Siasa za kibiashara ndani na nje ya nchi!....hkn ukombozi wa kweli pale .....sasa kuna wana siasa wajinga watampa nafasi ya ngazi za juu!! sasa hapo uone sarakasi za atakavyotafuna nchi kichaga!

Mtakaa chini wote!! Mama Mpuuuze huyo mwacheee!! futa kesi kipofu hiyooooo!! hana lolote anajipendekeza kwenye Ugaidi wakati ni mtoto wa Bibi tu yule hauwezi ugaidi huyo mayai tu!!.....ugaidi ni kulala juu ya miti kwenye maji sometimes chooni!!

sasa huyu mnavo muona atayawezaaaa!! muulizeni Kagame/Mseven Muziki wa ugaidi ni habari nzito ile......ni piga nikupige na ufe au uishi!...hao walijua hawatafika hapo walipo!!! lkn waliamua ni bora kufa wamesimama kabisa! kuliko kufa wamekaa!

Gaidi gani anaenda kulia lia kanisani? baada ya kufunguliwa ?? yaani eti ana omba mungu mzungu!! tena Mkoloni mkandamizaji eti amuhurumie!! Mweee nilikuwa nacheka mpaka basi............eti gaidi ufwile nyambala...
 
Mbowe ni wa kumpuuza sana tu!!! ..........hana lolote kwanza mtu mwenyewe Mayai sana yule! hana mshipa wa mapambano ya kweli!...nilivo kiona kwa Mbowe anataka umaarufu kama wa kina Mandela/sobukwe/Dedan kimathi/

na kina Tafawa Balewa/Murtala Mohamad/ Martin Luther king...ili atengeneze History ya kupendwa na kuhurumiwa Tanzania na Duniani kote !! lkn dolololo!! inagonga mwamba!

Rais Mama Samia alishamshutukia kitambo sana!!.... ambye aliingia kichwa kichwa bila kujua hii janja ni Jiwe...km mnavo jua lile jamaa halikuwa na akili timamu lilikuwa lina lipuka tu km moto wa kifuu!!...

yaani ningekuwa mie Rais hee!! mpaka Mbowe ange jidharau mwenyewe live hivi!!......na wasaidizi wa Jiwe hawakuwa Charismatic kumjua mtu fake!!...Mtaka umaarufu tu!! kupitia Siasa>..yule Familia ya Mbowe ina hela Mingi taangu utotoni!! Kupitia Hotel Bilicanas!

Zamani za Disco toto ukumbi wa Disco ''Mbowe roof clouds!! Baba yake alitajirishwa na sera hizo hizo za CCM, KupitiaMkono wa Nyerere!! akashiba mafanikio na kupata akili nzuri!! akaona huko ccm hatopata umaarufu! ndo kaja huku upinzani!

Ameshiba mpaka amepitiliza sasa anachokitafuta ni umaarufu tu!! mana chama nayo majingaaa yanashangilia tu!!.....yule ana Ma- clubs mpaka nje ya nchi!!..na huko wapo kina Mbowe wengi tu!

halafu yule hafanyi upinzani wa kweli kutoka moyoni .....yule anayo fanya ni show off tu!!....hata wanao mfuata ni vijana wa kichaga ambao hawakusoma!! ....ukiona kuna Msomi pale anafuatana na Mbowe basi jua wako pamoja kutengeneza scenario fake!!!

Mbowe ni tajiri anaye penda Siasa ili kutangaza biashara zake!! Siasa za kibiashara ndani na nje ya nchi!....hkn ukombozi wa kweli pale .....sasa kuna wana siasa wajinga watampa nafasi ya ngazi za juu!! sasa hapo uone sarakasi za atakavyotafuna nchi kichaga!

Mtakaa chini wote!! Mama Mpuuuze huyo mwacheee!! futa kesi kipofu hiyooooo!! hana lolote anajipendekeza kwenye Ugaidi wakati ni mtoto wa Bibi tu yule hauwezi ugaidi huyo mayai tu!!.....ugaidi ni kulala juu ya miti kwenye maji sometimes chooni!!

sasa huyu mnavo muona atayawezaaaa!! muulizeni Kagame/Mseven Muziki wa ugaidi ni habari nzito ile......ni piga nikupige na ufe au uishi!...hao walijua hawatafika hapo walipo!!! lkn waliamua ni bora kufa wamesimama kabisa! kuliko kufa wamekaa!

Gaidi gani anaenda kulia lia kanisani? baada ya kufunguliwa ?? yaani eti ana omba mungu mzungu!! tena Mkoloni mkandamizaji eti amuhurumie!! Mweee nilikuwa nacheka mpaka basi............eti gaidi ufwile nyambala...
Wewe ni kafiri tu kutoka genge la wasiojulikana.
 
Mbowe ni wa kumpuuza sana tu!!! ..........hana lolote kwanza mtu mwenyewe Mayai sana yule! hana mshipa wa mapambano ya kweli!...nilivo kiona kwa Mbowe anataka umaarufu kama wa kina Mandela/sobukwe/Dedan kimathi/

na kina Tafawa Balewa/Murtala Mohamad/ Martin Luther king...ili atengeneze History ya kupendwa na kuhurumiwa Tanzania na Duniani kote !! lkn dolololo!! inagonga mwamba!

Rais Mama Samia alishamshutukia kitambo sana!!.... ambye aliingia kichwa kichwa bila kujua hii janja ni Jiwe...km mnavo jua lile jamaa halikuwa na akili timamu lilikuwa lina lipuka tu km moto wa kifuu!!...

yaani ningekuwa mie Rais hee!! mpaka Mbowe ange jidharau mwenyewe live hivi!!......na wasaidizi wa Jiwe hawakuwa Charismatic kumjua mtu fake!!...Mtaka umaarufu tu!! kupitia Siasa>..yule Familia ya Mbowe ina hela Mingi taangu utotoni!! Kupitia Hotel Bilicanas!

Zamani za Disco toto ukumbi wa Disco ''Mbowe roof clouds!! Baba yake alitajirishwa na sera hizo hizo za CCM, KupitiaMkono wa Nyerere!! akashiba mafanikio na kupata akili nzuri!! akaona huko ccm hatopata umaarufu! ndo kaja huku upinzani!

Ameshiba mpaka amepitiliza sasa anachokitafuta ni umaarufu tu!! mana chama nayo majingaaa yanashangilia tu!!.....yule ana Ma- clubs mpaka nje ya nchi!!..na huko wapo kina Mbowe wengi tu!

halafu yule hafanyi upinzani wa kweli kutoka moyoni .....yule anayo fanya ni show off tu!!....hata wanao mfuata ni vijana wa kichaga ambao hawakusoma!! ....ukiona kuna Msomi pale anafuatana na Mbowe basi jua wako pamoja kutengeneza scenario fake!!!

Mbowe ni tajiri anaye penda Siasa ili kutangaza biashara zake!! Siasa za kibiashara ndani na nje ya nchi!....hkn ukombozi wa kweli pale .....sasa kuna wana siasa wajinga watampa nafasi ya ngazi za juu!! sasa hapo uone sarakasi za atakavyotafuna nchi kichaga!

Mtakaa chini wote!! Mama Mpuuuze huyo mwacheee!! futa kesi kipofu hiyooooo!! hana lolote anajipendekeza kwenye Ugaidi wakati ni mtoto wa Bibi tu yule hauwezi ugaidi huyo mayai tu!!.....ugaidi ni kulala juu ya miti kwenye maji sometimes chooni!!

sasa huyu mnavo muona atayawezaaaa!! muulizeni Kagame/Mseven Muziki wa ugaidi ni habari nzito ile......ni piga nikupige na ufe au uishi!...hao walijua hawatafika hapo walipo!!! lkn waliamua ni bora kufa wamesimama kabisa! kuliko kufa wamekaa!

Gaidi gani anaenda kulia lia kanisani? baada ya kufunguliwa ?? yaani eti ana omba mungu mzungu!! tena Mkoloni mkandamizaji eti amuhurumie!! Mweee nilikuwa nacheka mpaka basi............eti gaidi ufwile nyambala...
Wewe ni mchawi kamili, ulichokosa ni vitendea kazi tu.
 
Mbowe ni wa kumpuuza sana tu!!! ..........hana lolote kwanza mtu mwenyewe Mayai sana yule! hana mshipa wa mapambano ya kweli!...nilivo kiona kwa Mbowe anataka umaarufu kama wa kina Mandela/sobukwe/Dedan kimathi/

na kina Tafawa Balewa/Murtala Mohamad/ Martin Luther king...ili atengeneze History ya kupendwa na kuhurumiwa Tanzania na Duniani kote !! lkn dolololo!! inagonga mwamba!

Rais Mama Samia alishamshutukia kitambo sana!!.... ambye aliingia kichwa kichwa bila kujua hii janja ni Jiwe...km mnavo jua lile jamaa halikuwa na akili timamu lilikuwa lina lipuka tu km moto wa kifuu!!...

yaani ningekuwa mie Rais hee!! mpaka Mbowe ange jidharau mwenyewe live hivi!!......na wasaidizi wa Jiwe hawakuwa Charismatic kumjua mtu fake!!...Mtaka umaarufu tu!! kupitia Siasa>..yule Familia ya Mbowe ina hela Mingi taangu utotoni!! Kupitia Hotel Bilicanas!

Zamani za Disco toto ukumbi wa Disco ''Mbowe roof clouds!! Baba yake alitajirishwa na sera hizo hizo za CCM, KupitiaMkono wa Nyerere!! akashiba mafanikio na kupata akili nzuri!! akaona huko ccm hatopata umaarufu! ndo kaja huku upinzani!

Ameshiba mpaka amepitiliza sasa anachokitafuta ni umaarufu tu!! mana chama nayo majingaaa yanashangilia tu!!.....yule ana Ma- clubs mpaka nje ya nchi!!..na huko wapo kina Mbowe wengi tu!

halafu yule hafanyi upinzani wa kweli kutoka moyoni .....yule anayo fanya ni show off tu!!....hata wanao mfuata ni vijana wa kichaga ambao hawakusoma!! ....ukiona kuna Msomi pale anafuatana na Mbowe basi jua wako pamoja kutengeneza scenario fake!!!

Mbowe ni tajiri anaye penda Siasa ili kutangaza biashara zake!! Siasa za kibiashara ndani na nje ya nchi!....hkn ukombozi wa kweli pale .....sasa kuna wana siasa wajinga watampa nafasi ya ngazi za juu!! sasa hapo uone sarakasi za atakavyotafuna nchi kichaga!

Mtakaa chini wote!! Mama Mpuuuze huyo mwacheee!! futa kesi kipofu hiyooooo!! hana lolote anajipendekeza kwenye Ugaidi wakati ni mtoto wa Bibi tu yule hauwezi ugaidi huyo mayai tu!!.....ugaidi ni kulala juu ya miti kwenye maji sometimes chooni!!

sasa huyu mnavo muona atayawezaaaa!! muulizeni Kagame/Mseven Muziki wa ugaidi ni habari nzito ile......ni piga nikupige na ufe au uishi!...hao walijua hawatafika hapo walipo!!! lkn waliamua ni bora kufa wamesimama kabisa! kuliko kufa wamekaa!

Gaidi gani anaenda kulia lia kanisani? baada ya kufunguliwa ?? yaani eti ana omba mungu mzungu!! tena Mkoloni mkandamizaji eti amuhurumie!! Mweee nilikuwa nacheka mpaka basi............eti gaidi ufwile nyambala...

..Nimekuelewa kwamba Mbowe hawezi kuwa gaidi.

..kwamba ushahidi uliotolewa dhidi yake ni wa uongo na kutunga.
 
Serikali ya Bongo inafanya show off Duniani hasa kwa Mabeberu kuwa na wao wana upinzani mkali nchini!... kuuumbe hakuna lolote, sasa wewe uingie uanachama kichw kichwa ukiwa mpinzani wa kweli uone moto wake ndo km yalaeee ya kina Saa Nane!

Kijana tulimpoteza mazimaaa na Elimu yake mbichiiiii!...yule aliingia mzima mzima!! sasa niwaulize Mabere Marando yuko wapi??.... Lyatonga Mrema yuko wapi???...na sasa Mbowe....... haawa wooote na wengine tunawajua! ni Usalama wa Taifa Damu damu!

majinga majinga yakiingia yanauawa kiulainiii!! wao wanasonga wanakula ruzuku!!..... Mbowe wa leo Baba yake alikunywa Maji ya Bendera ya ccm miaka hiyo kamwe kizazi hiko hakita ipinga ccm!! subiri muone!.......

Mzanaki aliisuka NCHI na ikasukika acha mchezo na Julius kambarage weye!...Mtasubiri sana Stand!!
 
Wewe ni kafiri tu kutoka genge la wasiojulikana.
Unaonaaaa?? Mr Mbowe!!! Mheshimiwa hata akili nzuri za hoja huna!!...kubali !! tunakujua....na ukweli unachoma paaaa!!...genhe l wasiojulikana ni watu!....... Na kafir km hujui ni mtu mweusi km weye!
 
Wewe ni mchawi kamili, ulichokosa ni vitendea kazi tu.
Umesahau Mchawi ana sababu!......huyo Mbowe soon! atarudi CCM! km Lowasa, ..Mrema,....Mabelle Marando!! hawa kukitosa chama ni ndoto! ni damu damu...... kwa kuwa wametengenezwa na chama na sasa Mbowe ni Tego la CCM!! Mark ma words utaniambia!

Kamwe Mbowe hataitosa ccm! ila ataiweka sehemu nzuri, na atapewa Reward!! hata km leo hii akiwa Rais!! ni ataibeba ccm tu...najua ccm mnachukia napowafungua watu macho!...Matola weye ni CCM kindaki ndaki usituzuge.....unatumiwa tu kunijibu humu!

wale wanaokufa ni wale wanaoingia chamani kichwakichwa wapinzani wa kweli hawa bana wanapotezwa tu!! tena kirahisi mno!! Mbowe ni Dola kamili analindwa na sirikaliiiii!!....CCM inajua hii ni vita kamili Kidunia!

Akitokea mpinzani wa kweli! kweli, Mchawi na Mgumu kuuawa km Zitto kabwe!! anaingizwa kwenye Mfumo wa KIgaidi wa CCM! kwa mahela meeengi...na kupewa chochite anacho taka halafu wana irusha Kisiasa!! Jiwe yuko wapi??

Jiwe alijifanya Mgumu! akaingia kichwa kichwa (lkn nilimuonya) kutaka kufumua Upya misingi ya CCM iliyo sukwa na CCM asilia jamani yuko wapi???..CCM ndo Mama wa Uhai wa SADACC! EAC, hakuna wa kumpinga! inajua kila kibaka maeneo haya!

Rais yeyote wa Maeneo haya ukitaka kuishi vizuri ukatubu Mwitongo na kamatia hawa watu Kikwete, T.Mbeki, Ramaphosa, Museven, Daniel toroitch Arap Moi, Kabila mdogo, Mnangagwa, hao ni kwa uchache!! wakujue uwajue! hawa ndo Rungu la jumuiya hizi!!

Ndo wana hirizi hawa!! mfano yule mchungaji Mmalawi aliyekataliwa na waumini wake S/Africa, alijua kuongea na hawa wazee huyo hapo karudi Malawi kiubweteee!! kwa ndege ya serikali...na Account zake anatumia km kawaida humohumo SADACC!

Mali zake zipo kimyaaa!!..... Zuma, Rais Chiluba, na ivi karibuni Magu! hawa!!..... wazee wa SADACC waliwapenda sana lkn wakaja kwa Mbwembwe!! na dharau miiingi!! hata kuwasema watangulizi wao vibaya kina Kaunda na juzi tu hapa Jakaya

ina maana hawa walikuwa kipindi cha mpito kuelekea uaminifu kamili lkn tukaona watakuwa Mwiba!! wa jumuiya yetu tukuka!!! kifupi weupe kichwani!! wakawaonyesha kuwa wao ndo Front line state ya zamani!....

hata mfanyeje mtaondoka nyie lkn siyo hizi jumuiya!.....Mazungu ya leo yanavua chupi kwa jumuiya hizi!......ziheshimu, uzielewe, uziishi vyema.....ili uishi kwa amani! km Mkuu wa nchi vinginevyo unakaanga Mawe!

Huyu dogo Mbowe analijua hili na wanamjua fika hawa watu!!! Mbowe ana Investments kubwa kwenye baadhi ya nchi jumuia hizi zooote!! na ndo mfadhili mojawapo mkubwa wa Makao makuu ya AU, SADACC!! sasa ebu nambie atakuwa mpinzani wa kweli huyu??

Hata leo Mbowe mkimfilisi mali zake zooote!!.....atapeta tu! tena zaidi kuliko ilivyokuwa mwanzo ...Makapuku mna shanGilia kijinga tu!! ...Jiwe lilikuwa na fununu tu!! sababu lilikuwa kwenye Matazamio!! ya kuwa Mzee kamili wa SADACC! lkn jeuri za kishamba!
 
Unaonaaaa?? Mr Mbowe!!! Mheshimiwa hata akili nzuri za hoja huna!!...kubali !! tunakujua....na ukweli unachoma paaaa!!...genhe l wasiojulikana ni watu!....... Na kafir km hujui ni mtu mweusi km weye!
Basi ujinga wako utakufanya kama mwendazake aliyejidai kuwa Tanzania ni nchi yake wakati Tanzania ina wenyewe akina Mbowe.
 
Basi ujinga wako utakufanya kama mwendazake aliyejidai kuwa Tanzania ni nchi yake wakati Tanzania ina wenyewe akina Mbowe.
Thubutuuuu!! jaribu uone moto wa Gas!!.... ndo utajua kuwa hujui!! mie siyo mjinga wewe ndo mjinga!
 
G

Historia ya kesi ya Mbowe na Wenzake

Freeman Akamatwa Mwanza 21Julai 2021

Mnamo tarehe 21 Julai mwaka 2021, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza lilimtia nguvuni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akiwa hoteli ya Kingdom mtaa wa Ghana alikokifikia, alipokuwa ameenda kwenye ziara za shughuli za chama chao. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ramadhani Ng'anzi alithibitisha kumshikilia kiongozi huyo.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alishikiliwa kwa mahojiano baada ya kukamatwa akidaiwa kutaka kuendesha Kongamano la Katiba ambalo awali lilikuwa limezuiwa na Polisi.

"Baada ya kumkamata, wenzetu wa Dar es Salaam nao walitueleza kuwa wanamtafuta kwa makosa mengine anayodaiwa kuyafanya huko; hivyo tulimsafirisha kwenda Dar es Salaam anakoendelea kuhojiwa," alisema Kamanda Ng'anzi.

Pia, soma: Polisi: Mbowe amepelekwa Dar kwa Mahojiano, atarejeshwa Mwanza


Freeman Mbowe Atuhumiwa kwa Kupanga njama za Ugaidi na Kudhuru viongozi wa Serikali 22 Julai 2021
Mwekiti wa CHADEMA alisafirishwa moaka Dar Es Salaam ambapo alifikishwa kituo Kikuu cha Polisi na kisha kupelekwa nyumbani kwake ambapo baadhi ya vifaa vyake kama laptop, tablet za watoto wake na modem vilichukuliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya uchunguzi, naye aliambiwa ataunganishwa pamoja na watuhumiwa wengine wa Ugaidi.

Pia, soma: Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali


Kuhusu kilichotokea katika Kesi Mahakamani, fungua viungo (LINKS) hapo chini:

SEPTEMBA, 2021
- Mahakama ya Uhujumu Uchumi: Mvutano mkali kesi ya Mbowe na wenzake. Hatma ya kesi kujulikana Septemba 6 (03/09/2021)

- Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri (15/09/2021)

- Naibu Msajili Mahakama ya Uhujumu aainisha masharti ya kusikiliza kesi ya Mbowe (16/09/2021)

- Kesi ya Mbowe na Wenzake: Polisi Wazuia watu kuingia kufuatilia, Mawakili wa Utetezi watoka nje. Kesi yarejea na kuahirishwa mpaka 17 Sept (19/09/2021)

- Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi - Sept 17, 2021 (17/09/2021)

- Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021 (20/09/2021)

- Mahakama yatupilia mbali Kesi ya Mbowe ya Kikatiba dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (23/09/2021)

- Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi - 27/09/2021 (27/09/2021)

- Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa - 28/09/2021 (28/09/2021)

- Maamuzi ya kesi ndogo katika Kesi ya Mbowe na Wenzake kutolewa Oktoba 19, 2021 (29/09/2021)


OKTOBA, 2021
- Kesi ndogo ya Mbowe iliyopangwa kutolewa hukumu tarehe 19/10/2021 yasogezwa mbele (17/10/2021)

- Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake Watatu kuendelea tena tarehe 26/10/2021 (25/10/2021)

- Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021 26/10/2021

- Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake. Shahidi Justine Eliya Kaaya, amtaja Ole Sabaya. Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 28, 2021 27/10/2021

- Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na wenzake: Kaaya amaliza kutoa ushahidi. Shauri kuendelea 29/10/2021 28/10/2021

- Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu, Coplo Hafidh Abdallah Mohamed atoa ushahidi wake, kesi kuendelea Jumatatu 01 November 2021 29/10/2021

NOVEMBA, 2021

- Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na rushwa. Shauri kuendelea kesho Nov, 2, 2021 (01/11/2021)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021 (02/11/2021)

- Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 3, 2021: Shahidi Upande wa Mashitaka ashindwa kutokea Mahakamani, kesi yaahirishwa hadi Novemba 4, 2021 (03/11/2021)

- Kesi ya Mbowe Novemba 4, 2021: Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Sebastian Madembwe atoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Novemba 5, 2021 (04/11/2021)

- Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 05, 2021: Inspector Mahita Mohamed atoa ushahidi (05/11/2021)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ya Mbowe na wenzake. Superitendent Jumanne Malangahe atoa ushahidi, Kesi imeahirishwa hadi Nov 9, 2021 (08/11/2021)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa hadi - Nov 10, 2021 (09/11/2021)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ndogo ya Mbowe, Superitendent Jumanne Malangahe atoa Ushahidi (10/11/2021)

- Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021 (11/11/2021)

- Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021 (12/11/2021)

- Yaliyojiri kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 16, Nov 2021 (15/11/2021)

- Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe: Jaji aahirisha kutoa uamuzi mpaka tarehe 17/11/2021 saa tatu asubuhi (16/11/2021)

- Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 17, 2021: Kesi yaahirishwa mpaka tarehe 18/11/2021 saa tatu asubuhi] (17/11/2021)

- Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021 (18/11/2021)

- Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021 (22/11/2021)

- Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Detective Afande Goodluck atoa Ushahidi, Kesi yaahirishwa hadi Novemba 24, 2021 (23/11/2021)

- Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe -Inspector Lugawa ISSA Maulid atoa Ushahidi, Kesi yaahirishwa hadi Novemba 25, 2021 (24/11/2021)

- Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Upande wa Utetezi waanza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka 26 Novemba, 2021 (25/11/2021)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake 3 - Kesi imeahirishwa hadi Nov. 29 2021 (26/11/2021)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, kesi ya Mbowe na wenzake - 30 Nov 2021 (30/11/2021)


DESEMBA, 2021
- Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na wenzake - Desemba 1, 2021. Shahidi asimulia alivyowekwa chumba cha mateso gerezani. Uamuzi kusomwa Desemba 14, 2021 (Dec 1, 2021)

- Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya utetezi, maelezo ya Mohamed Lingw'enya yapokelewa na Mahakama. Kesi kuu kuendelea Des. 15, 2021 (Dec 14,2021)

- Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe (CHADEMA) na wenzake watatu yaahirishwa mpaka Januari 10, 2022 (Dec 20, 2021)


JANUARI, 2022
- Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Januari 10, 2022. Shahidi namba 8 aendelea kutoa ushahidi. Kesi imeahirishwa hadi kesho 11/01/2022 (Jan 10, 2022)

- Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe leo Januari 11, 2022. SP Jumanne Malangahe amaliza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Januari 13, 2022 (Jan 11, 2022)

- Yaliyojiri Mahakamani katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, Januari 13, 2022. Kesi imeahirishwa hadi Januari 14 2022 (Jan 13, 2022)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu. Kesi imeahirishwa hadi 17, January 2022 (Jan 14, 2022)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu. Kesi imeahirishwa hadi Januari 18, 2022 (Jan 17, 2022)

- Yaliyojiri Mahakamani kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Kesi yaahirishwa hadi 19/01/2022 (Jan 18, 2022)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeamn Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022 (Jan 19, 2022)

- Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake leo 20/01/2022. Shahidi 10 amaliza, shahidi wa 11 mwingine kuanza ushahidi kesho 21/01/2022 (Jan 20, 2022)

- Yaliyojiri katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na Wenzake tarehe21/01/2021. Kesi imeahirishwa hadi 24/ 01/ 2022 (Jan 21, 2022)

- Yaliyojiri kesi ya Mbowe 24/01/2022: Shahidi wa 11, H4347 Goodluck amaliza ushahidi wake. Shahidi wa 12 kuendelea tarehe 26/01/2022 (Jan 24, 2022)

- Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake (Jan 26, 2022)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Luteni Denis Urio, Shahidi wa 12 anaendelea kutoa Ushahidi wake (Jan 27, 2022)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022 (Jan 28, 2022)

- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi Februari 01, 2022 (Jan 31, 2022)


FEBRUARI, 2022
- Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022 (Feb 1, 2022)

- Yaliyojiri kesi inayomkabili Mbowe na wenzake leo Februari 4, 2022. Kesi imeahirishwa. Shahidi wa 13 kuendelea kutoa ushahidi Februari 7, 2022 (Feb 4, 2022)

- Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Sostenes Swila kuendelea kutoa ushahidi wake Februari 08/2022 (Feb 7, 2022)

- Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Sostenes Swila kuendelea kutoa ushahidi wake Februari 9, 2022 (Feb 8, 2022)

- Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa hajisikii vizuri; kuendelea na ushahidi 10/02/2022 (Feb 9, 2022)

- Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3: Shahidi Tumaini Swila ashindwa kufika mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Februari 14, 2022 (Feb 10, 2022)

- Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3. Shahidi wa 13, Tumaini Swila kuendelea kutoa ushahidi Februari 15, 2022 (Feb 14, 2022)

- Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022 (Feb 15, 2022)

- Mbowe na Wenzake 3 wakutwa na kesi ya kujibu. Kesi imeahirishwa hadi Machi 4, 2022. Watuhumiwa kuanza kujitetea (Feb 18, 2022)


MACHI, 2022
- Mbowe aachiwa huru na wenzake watatu baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutotaka kuendelea na kesi (March, 4, 2022)
 
Basi ujinga wako utakufanya kama mwendazake aliyejidai kuwa Tanzania ni nchi yake wakati Tanzania ina wenyewe akina Mbowe.
Lkn Moshi aliwapelekesha!!!! heee!! hamta m sahau kwa Muziki ule!! Mlitoa hela wenyeweeee!!...naakawambika na kesi juu!
 
Back
Top Bottom