Mfululizo wa Kesi ya Ugaidi iliyokuwa ikimkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu

Mbinguni!!....na weye bado unateseka tu!
Analia na kusema Baba uwasamehe Makonda na Sabaya kikosi kazi changu cha mauaji naomba uwabadilishe wapate kutubu kwa sababu hatukujua kuwa kuna mateso namna hii.
 
Analia na kusema Baba uwasamehe Makonda na Sabaya kikosi kazi changu cha mauaji naomba uwabadilishe wapate kutubu kwa sababu hatukujua kuwa kuna mateso namna hii.
Mbinguni hakuna mateso!! ..wachungaji fake wamekudanganya!!!....Makonda hateseki anakula Bata South paleee Lady Brand,...hujui! ila unaendeshwa na roho za visasi!
 
Mbinguni hakuna mateso!! ..wachungaji fake wamekudanganya!!!....Makonda hateseki anakula Bata South paleee Lady Brand,...hujui! ila unaendeshwa na roho za visasi!
Kuna mbinguni au jehanum ukifa hapa duniani kuna mambo mawili ukifa mchafu unaenda jehanum na ukifa mtakatifu unaenda mbinguni.
 
Kuna mbinguni au jehanum ukifa hapa duniani kuna mambo mawili ukifa mchafu unaenda jehanum na ukifa mtakatifu unaenda mbinguni.
Safi sana kumbe una akili!.....kaenda mbinguni umesha kiri kwa kinywa chako Ndo inavotakiwa....na Mbinguni hakuna Ukigeu geu!......ukisema ameenda mbinguni una maanisha ivo!! safi sana!...MOTO UKO JEHANUMU TU!
 
Safi sana kumbe una akili!.....kaenda mbinguni umesha kiri kwa kinywa chako Ndo inavotakiwa....na Mbinguni hakuna Ukigeu geu!......ukisema ameenda mbinguni una maanisha ivo!! safi sana!...MOTO UKO JEHANUMU TU!
Wewe mjinga tu unataka tumkufuru Mungu kwa vile nimekuona wewe ni kichaa na umenikuta naoga bafuni umekwapua nguo zangu siwezi endelea kukufukuzia maana utanifanya na mimi niendelee kuwa kichaa,na kichaa wako hana namna huko aliko alijifanya Mungu akaabudiwa na wajinga kama wewe lakini utiukufu wake ukapotea mara moja kwa vile yupo MUNGU MMOJA TU na si mwizi wa kura na muuaji.
 
Asante sana kwa team
 
hii ndio imetufundisha PGO
 
Hii kesi itakuwa ya mfani na imekinda heshima ya Mwenyekiti kwa miaka 1000 ijayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…