Mfumo gani wa mauzo wa dukani?

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,033
Reaction score
895
Habari zenu, naomba kujulishwa ni mfumo gani wa mauzo ambao ni mzuri kutumia kwa dukani?

Gharama iwe rafiki, mwepesi kutumia, huduma ya wateja inapatikana pindi kunapotokea tatizo, je mfumo unaweza kutumiwa bila kifurushi "offline"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…