Mfumo huu wa utengenezaji wa shimo la choo una changamoto/faida gani?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Nani kwaeka mfumo huu wanasema WA kisasa WA shimo la Choo? Nimeona gharama NI nzuri sio kubwa kulinganisha na kuchimba lile la kizamani la kujenga na vipande vya tofali.

Je mfumo huu mpya Una changamoto zipi? Kwa ambao mnatumia mashimo ya aina hii.

 
Utofauti wake na hayo ya kizamani ni nini?
  • Dimensions?
  • Au ndo yale yasiojaa?
 
Sisi huku kwetu masaini tunakunya kwenye vichaka, yani nijengee sehemu kwa kutumia gharama kubwa afu yanakaa mavi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…