ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,020
- 2,716
Tangu dhambi ilipoingizwa na mwanamke duniani, Mungu aliamuru mfume dume ktk familia. Soma { Mwa 3:16 akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako na kuzaa kwako kwa uchungu utazaa watoto na tamaa yako itakuwa kwa mumeo naye atakutawala}
Siungi mkono wanaume kuwatesa na kuwanyanyasa wake zao, maana hiyo siyo maana ya kutawala. Lakini naitaji wanawake wajue kuwa wao wanapaswa kuwa chini ya mamlaka ya waume zao.
Cheo Cha mke, fedha, umaarufu, vipaji, karama, nk; havimfanyi mke kuwa mtawala wa familia.
Ukweli ni kuwa mwanamke wa kisasa anaweza kuwa na elimu kubwa, fedha, cheo, maarufu, star ,kuliko mume wake. Lakini hayo bado hayampi mke mamlaka ya kumtawala mume na familia.
Wanawake wapumbavu pekee wanaharibu sana familia na kukataa mamlaka ya waume zao, Ukweli ni kuwa mke asiyetaka kuwa chini ya mamlaka ya mume wake kwa sababu yoyote ile, lazima ataishia kuwa msimbe.Kwa sababu anakiuka kwa makusudi utaratibu wa Mungu aliyouweka kuhusu familia.
Wale wanawake vichwa ngumu mnaodai haki sawa, mna upako wa kisimbe na mtaishia kuwa wasimbe waelevu. Mke wa mtu ukitaka ndoa yako idumu fuata agizo alilolisema Mungu, hata kama una elimu zaidi, cheo, fedha, karama, vipaji kuliko mume wako.
Mwenyezi Mungu ajasema wanawake waache utii na kuwa na viburi kwa waume zao, kisa wana vitu hivyo kuliko waume zao. Ukikaidi haya lazima ndoa yako itakuwa ya hovyo na itavunjika tu.
Siungi mkono wanaume kuwatesa na kuwanyanyasa wake zao, maana hiyo siyo maana ya kutawala. Lakini naitaji wanawake wajue kuwa wao wanapaswa kuwa chini ya mamlaka ya waume zao.
Cheo Cha mke, fedha, umaarufu, vipaji, karama, nk; havimfanyi mke kuwa mtawala wa familia.
Ukweli ni kuwa mwanamke wa kisasa anaweza kuwa na elimu kubwa, fedha, cheo, maarufu, star ,kuliko mume wake. Lakini hayo bado hayampi mke mamlaka ya kumtawala mume na familia.
Wanawake wapumbavu pekee wanaharibu sana familia na kukataa mamlaka ya waume zao, Ukweli ni kuwa mke asiyetaka kuwa chini ya mamlaka ya mume wake kwa sababu yoyote ile, lazima ataishia kuwa msimbe.Kwa sababu anakiuka kwa makusudi utaratibu wa Mungu aliyouweka kuhusu familia.
Wale wanawake vichwa ngumu mnaodai haki sawa, mna upako wa kisimbe na mtaishia kuwa wasimbe waelevu. Mke wa mtu ukitaka ndoa yako idumu fuata agizo alilolisema Mungu, hata kama una elimu zaidi, cheo, fedha, karama, vipaji kuliko mume wako.
Mwenyezi Mungu ajasema wanawake waache utii na kuwa na viburi kwa waume zao, kisa wana vitu hivyo kuliko waume zao. Ukikaidi haya lazima ndoa yako itakuwa ya hovyo na itavunjika tu.