Mfumo maalamu wa kusoma Saa Tanzania

Mfumo maalamu wa kusoma Saa Tanzania

complex31

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2016
Posts
421
Reaction score
1,289
Habarini wadau,
Kwa wahusika ningependa ielekeze tangazo maalum la usomaji wa saa kwa wananchi wa Tamzania,
Mpaka sasa tuna mifumo mitatu ya uandikaji wa muda kuna :

1. 24hrs
2. 12hrs
3. Asubuhi/ Usiku

ratiba za treni za SGR zimeandikwa kwa kufata muda wa asubuhi/ usiku
Mfano 2:30 usiku hapa inatokea mchanganyiko kwa baadhi yetu kufahamu kua ni usiku wa manane, usiku wa saa mbili.
Kwa taasisi husika napendekeza uweko wa “format moja” ya kusoma muda,
Ikiwa kwenye mfumo wa 24hrs itapendeza zaidi
 
Hakuna usiku wa manane wa saa 2:30 endapo hizo namba ukizisoma kwa kiswahili. Zitasikika kama saa mbili na nusu usiku.
Habarini wadau,
Kwa wahusika ningependa ielekeze tangazo maalum la usomaji wa saa kwa wananchi wa Tamzania,
Mpaka sasa tuna mifumo mitatu ya uandikaji wa muda kuna :

1. 24hrs
2. 12hrs
3. Asubuhi/ Usiku

ratiba za treni za SGR zimeandikwa kwa kufata muda wa asubuhi/ usiku
Mfano 2:30 usiku hapa inatokea mchanganyiko kwa baadhi yetu kufahamu kua ni usiku wa manane, usiku wa saa mbili.
Kwa taasisi husika napendekeza uweko wa “format moja” ya kusoma muda,
Ikiwa kwenye mfumo wa 24hrs itapendeza zaidi
 
Habarini wadau,
Kwa wahusika ningependa ielekeze tangazo maalum la usomaji wa saa kwa wananchi wa Tamzania,
Mpaka sasa tuna mifumo mitatu ya uandikaji wa muda kuna :

1. 24hrs
2. 12hrs
3. Asubuhi/ Usiku

ratiba za treni za SGR zimeandikwa kwa kufata muda wa asubuhi/ usiku
Mfano 2:30 usiku hapa inatokea mchanganyiko kwa baadhi yetu kufahamu kua ni usiku wa manane, usiku wa saa mbili.
Kwa taasisi husika napendekeza uweko wa “format moja” ya kusoma muda,
Ikiwa kwenye mfumo wa 24hrs itapendeza zaidi
Namba 2 ndio imezoeleka hapa bongo
 
Namba 2 ndio imezoeleka hapa bongo

Ukiangalia hii ratiba watu wengi wataachwa na huu usafiri wa treni
e7dafb23-6636-47cf-a348-c8eac9938974.jpeg

Namba 2 ndio imezoeleka hapa bongo
 
Habarini wadau,
Kwa wahusika ningependa ielekeze tangazo maalum la usomaji wa saa kwa wananchi wa Tamzania,
Mpaka sasa tuna mifumo mitatu ya uandikaji wa muda kuna :

1. 24hrs
2. 12hrs
3. Asubuhi/ Usiku

ratiba za treni za SGR zimeandikwa kwa kufata muda wa asubuhi/ usiku
Mfano 2:30 usiku hapa inatokea mchanganyiko kwa baadhi yetu kufahamu kua ni usiku wa manane, usiku wa saa mbili.
Kwa taasisi husika napendekeza uweko wa “format moja” ya kusoma muda,
Ikiwa kwenye mfumo wa 24hrs itapendeza zaidi
Naomba urekebishe siyo usiku wa manane ni usiku wa Manani yaani usiku wa Mungu
 
Back
Top Bottom