KERO Mfumo mpya wa TRA kusumbua unaongeza gharama za mzigo kukaa bandarini

  • Thread starter Thread starter Anonymous (8163)
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Baada ya TRA kubadili mfumo wa forodha umesababisha mizigo kuchelewa kutoka bandari na kupeleka gharama za kutoa mzigo kuongezeka. Mfano mzigo kutoka Zanzibar unachukua siku 5 kutoka bandarini kutokana na system kusumbua.

Naomba mamlaka kuondoa gharama za storage katiki hichi kipindi ambacho system inasumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…