Mfumo unaochakata ratiba ya vipindi automatically bila kugonganisha

Mfumo unaochakata ratiba ya vipindi automatically bila kugonganisha

RAINEL LIHAWA

Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
34
Reaction score
31
NOW NI MFUMO WA KUCHAKATA RATIBA YA VIPINDI AUTOMATICALLY

Huu Ni kwa level zote za elimu
[emoji3591]Chekechea
[emoji3591]Primary school
[emoji3591]O level
[emoji3591]A level
[emoji3591]Vyuo vyote vya Kati
[emoji3591]Vyuo vikuu.


Mfumo upo vizuri sana.

Na Ni automatically

[emoji3591]Mtaaluma anaandaa ratiba kwa Raha , kwa tabasamu Pana, kwani hakuna kukuna kichwa Tena.

[emoji3591]Kazi ya muandaaji Ni kuingiza

1. Madarasa au mikondo aliyonayo shuleni yote.

2. Masomo au Course zinazo/ yanayofundishwa shuleni au chuoni.

3. Majina ya walimu au lectures names yakiambatana na kidato/Course takers anayofundisha mwalimu kwa kipindi hicho.

Baada ya hizo kazi tatu hapo MFUmo unachakata wenyewe automatically vipindi bila kugonganisha hata sehemu moja.

Cha kipekeee zaidi MFUmo unakuwezesha muandaaji kuamua chochote

Mfano
Kusert vipindi vya Hesabu visijiingize mchana.

Mwalimu X kutokua na vipindi siku Fulani au muda fulani.

Kipindi Cha Dini au Debate kiingie sehemu unayoitaka tuu.

Chochote unachokitaka MFUmo unafanya.

Kumbuka pia mifumo ya matokeo ipo inatuma sms ya matokeo kwa mzazi bila kutumia internet

MAWASILIANO.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
0753538043
0622388166

Tazama [emoji116][emoji116][emoji116]sumarry mbalimbali ambazo MFUmo unazigenerate automatically na wewe utabaki kuprint tuuView attachment kilolo idadi ya vipindi.pdf
Screenshot_20220906-174007.jpg
Screenshot_20220906-174036.jpg
Screenshot_20220906-174136.jpg
Screenshot_20220906-174234.jpg
Screenshot_20220906-174318.jpg
 
NOW NI MFUMO WA KUCHAKATA RATIBA YA VIPINDI AUTOMATICALLY

Huu Ni kwa level zote za elimu
[emoji3591]Chekechea
[emoji3591]Primary school
[emoji3591]O level
[emoji3591]A level
[emoji3591]Vyuo vyote vya Kati
[emoji3591]Vyuo vikuu.


Mfumo upo vizuri sana.

Na Ni automatically

[emoji3591]Mtaaluma anaandaa ratiba kwa Raha , kwa tabasamu Pana, kwani hakuna kukuna kichwa Tena.

[emoji3591]Kazi ya muandaaji Ni kuingiza

1. Madarasa au mikondo aliyonayo shuleni yote.

2. Masomo au Course zinazo/ yanayofundishwa shuleni au chuoni.

3. Majina ya walimu au lectures names yakiambatana na kidato/Course takers anayofundisha mwalimu kwa kipindi hicho.

Baada ya hizo kazi tatu hapo MFUmo unachakata wenyewe automatically vipindi bila kugonganisha hata sehemu moja.

Cha kipekeee zaidi MFUmo unakuwezesha muandaaji kuamua chochote

Mfano
Kusert vipindi vya Hesabu visijiingize mchana.

Mwalimu X kutokua na vipindi siku Fulani au muda fulani.

Kipindi Cha Dini au Debate kiingie sehemu unayoitaka tuu.

Chochote unachokitaka MFUmo unafanya.

Kumbuka pia mifumo ya matokeo ipo inatuma sms ya matokeo kwa mzazi bila kutumia internet

MAWASILIANO.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
0753538043
0622388166

Tazama [emoji116][emoji116][emoji116]sumarry mbalimbali ambazo MFUmo unazigenerate automatically na wewe utabaki kuprint tuu
Screenshot_20220906-174007.jpg
Screenshot_20220906-174036.jpg
Screenshot_20220906-174136.jpg
Screenshot_20220906-174234.jpg
Screenshot_20220906-174318.jpg
 
Wapelekee SUA morogoro,wale watu pamoja na kuwa ni chuo kikuu lakini ratiba kupanga imeshindiana miaka na miaka.
 
SYSTEM ZETU HAZIJAWAHI KU-FELL

KWA SASA NI MFUMO WA KUCHAKATA RATIBA ZA VIPINDI AUTOMATICALLY

I know Kuna wengine Wanatumia system ya excel kuchakata ratiba. Nakusihi achana na hiyo excel chukua hii desktop app. Full automatically.

Ndani ya mfumo huu unaweza tengenezea ratiba zaidi ya 1+ na ukawa unaedit anytime mojawapo ya zile timetable ambazo ulishazeselve bila kuharibu ratiba nyingine.


Mfumo huu Ni kwa level zote za elimu
[emoji3591]Chekechea
[emoji3591]Primary school
[emoji3591]O level
[emoji3591]A level
[emoji3591]Vyuo vyote vya Kati
[emoji3591]Vyuo vikuu.


Mfumo upo vizuri sana.

Na Ni automatically

[emoji3591]Mtaaluma anaandaa ratiba kwa Raha , kwa tabasamu Pana, kwani hakuna kukuna kichwa Tena.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Kazi ya muandaaji Ni kuingiza

[emoji3591]Jina la taasisi

[emoji3591]Madarasa /rooms name au Kila darasa na mikondo yake.

[emoji3591]Masomo yote yanayotolewa / kufundishwa shuleni au chuoni.

[emoji3591]Majina ya walimu wote waliopo shuleni na kwa kila mwalimu kumu - assign Somo atakalofundisha na kidato.

NB: Ni vyema ukawa na mwongozo wa idadi ya vipindi kwa wiki kwa kila somo ili ukuongoze.

Baada ya hizo kazi tano hapo juu
With one click generate a timetable

MFUmo unachakata wenyewe automatically vipindi bila kugonganisha hata sehemu moja.

Cha kipekeee zaidi MFUmo unakuwezesha muandaaji kuamua chochote

Mfano
Kusert vipindi vya Hesabu visijiingize mchana.

Mwalimu X kutokua na vipindi siku Fulani au muda fulani.

Kipindi Cha Dini au Debate kiingie sehemu unayoitaka tuu.

Chochote unachokitaka MFUmo unafanya.

Kumbuka pia mifumo ya matokeo ipo inatuma sms ya matokeo kwa mzazi bila kutumia internet

MAWASILIANO.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
0753538043
0622388166

Tazama [emoji116][emoji116][emoji116]sumarry mbalimbali ambazo MFUmo unazigenerate automatically na wewe utabaki kuprint tuuView attachment 2466198View attachment 2466199View attachment 2466197
IMG-20221104-WA0003.jpg
View attachment 2466196
 
Gharama sh ngapi ya huo mfumo nautaka sana kwa shule ya awali na msingi
 
Mkuu mfumo complex hvyo 20k au ni interms of dolla

Screenshort sizioni vizuri je excell
 
Back
Top Bottom