SoC04 Mfumo utakaoboresha ukusanywaji wa kodi na nchini (Tanzania)

SoC04 Mfumo utakaoboresha ukusanywaji wa kodi na nchini (Tanzania)

Tanzania Tuitakayo competition threads

The lighter

Member
Joined
May 1, 2024
Posts
7
Reaction score
6
Utangulizi
Takwimu za mapato yakuswanyayo na shirika husika (TRA) katika maeneo/shughuli mbalimbali, zimeonekana kupaa juu siku hadi siku na hii imechochewa na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali katika kutoa elimu kwa wauzaji na wanunuzi wa bidhaa/huduma mbalimbali,,,,
Sambamba na hilo,uzinduzi wa mifumo rahisi ya tehama inayowawezesha shirika (TRA) na wafanya biashara kufatilia taarifa zao za kodi imechochea kwa kiwango kikubwa ukuswanywaji wa mapato nchini.

Licha ya nguvu hiyo kubwa ambayo serikali imewekeza kuhakikisha kodi zinakusanywa kwa uadilifu mkubwa,,baadhi ya watu/taasisi wamekuja na mbinu mpya za kukwepa zoezi hili la ulipaji kodi katika bidhaa/huduma wanazozitoa kwa jamii...
Kwanza,wamekuja na njia ya kuprint risiti fake zisizotambulika na shirika(TRA) na kwa kufanya hivi wanaikosesha nchi mapato yake.
Pili,wamekuja na mtindo mpya wa kutoa risit original zenye thamani isiyohalisi na bidhaa/huduma waliyoitoa na kuikosesha TRA mapato yake stahiki.

Ushauli/Mapendekezo.
1.Mabadiliko katika mfumo uliopo katika machine za kutolea risiti
.
2.Ushirikishwaji wa moja kwa moja kati ya TRA na mteja(mpokea bidhaa/huduma)
Jambo hili litafanyika hivi ....
Mteja kabla ya kununua bidhaa ataingia katika menu ya TRA,,mfn *123# na ataweka TIN ya mfanya biashara na kiasi cha bidhaa/huduma anayoihitaji kisha atasend request TRA,,TRA watajibu kwa sms,,na kitoa code(neno la siri) ambalo pasipo hilo,,Mtoa huduma/bidhaa hatoweza print risiti katika mashine yake,,,
Mfumo huu utasaidia nini...
1:Utakomesha risit fake maana machine zote hazitaprinti risit bila neno la siri toka TRA kupitia kwa mteja,,,na litamatch na TIN ya mfanya biashara(unique code for a single TIN) hii ikimaanish neno hilo la siri halitatumika zaidi ya mara moja katika TIN zaidi ya moja
2.Mfumo utaziba mwanya wa mfanya biashara kujichagulia kiwango cha thaman ya bidhaa/huduma.
Mwisho
Mapato mengi yanapotea mikononi mwa watu wachache wasiojali masilahi ya nchi bali yao wenyewe,,kama tutaungana kwa pamoja na kuwa waaminifu basi tatizo hili litafika mwisho,,
Asante
 
Upvote 1
Ushirikishwaji wa moja kwa moja kati ya TRA na mteja(mpokea bidhaa/huduma)
Jambo hili litafanyika hivi ....
Mteja kabla ya kununua bidhaa ataingia katika menu ya TRA,,mfn *123# na ataweka TIN ya mfanya biashara na kiasi cha bidhaa/huduma anayoihitaji kisha atasend request TRA,,TRA watajibu kwa sms,,na kitoa code(neno la siri) ambalo pasipo hilo,,Mtoa huduma/bidhaa hatoweza print risiti katika mashine yake,,,
Mfumo huu utasaidia nini...
1:Utakomesha risit fake maana machine zote hazitaprinti risit bila neno la siri toka TRA kupitia kwa mteja,,,na litamatch na TIN ya mfanya biashara(unique code for a single TIN) hii ikimaanish neno hilo la siri halitatumika zaidi ya mara moja katika TIN zaidi ya moja
Matatizo uliyoainisha hapo juu yanatokana na ushirikiano kati ya mteja na mfanyabiashara. Mtu anapewa punguzo labda au chochote mradi akubali kutopokea risiti au kupokea risiti ya bei pungufu..... wote wanafaidika kasoro serikali.

Sasa tuambie katika huu mfumo mpya umetuwekea kitu gani kumsaidia mteja na mfanyabiashara kujiona washindi katika gemu nzima mwisho wa siku???
 
Utangulizi
Takwimu za mapato yakuswanyayo na shirika husika (TRA) katika maeneo/shughuli mbalimbali, zimeonekana kupaa juu siku hadi siku na hii imechochewa na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali katika kutoa elimu kwa wauzaji na wanunuzi wa bidhaa/huduma mbalimbali,,,,
Sambamba na hilo,uzinduzi wa mifumo rahisi ya tehama inayowawezesha shirika (TRA) na wafanya biashara kufatilia taarifa zao za kodi imechochea kwa kiwango kikubwa ukuswanywaji wa mapato nchini.

Licha ya nguvu hiyo kubwa ambayo serikali imewekeza kuhakikisha kodi zinakusanywa kwa uadilifu mkubwa,,baadhi ya watu/taasisi wamekuja na mbinu mpya za kukwepa zoezi hili la ulipaji kodi katika bidhaa/huduma wanazozitoa kwa jamii...
Kwanza,wamekuja na njia ya kuprint risiti fake zisizotambulika na shirika(TRA) na kwa kufanya hivi wanaikosesha nchi mapato yake.
Pili,wamekuja na mtindo mpya wa kutoa risit original zenye thamani isiyohalisi na bidhaa/huduma waliyoitoa na kuikosesha TRA mapato yake stahiki.

Ushauli/Mapendekezo.
1.Mabadiliko katika mfumo uliopo katika machine za kutolea risiti
.
2.Ushirikishwaji wa moja kwa moja kati ya TRA na mteja(mpokea bidhaa/huduma)
Jambo hili litafanyika hivi ....
Mteja kabla ya kununua bidhaa ataingia katika menu ya TRA,,mfn *123# na ataweka TIN ya mfanya biashara na kiasi cha bidhaa/huduma anayoihitaji kisha atasend request TRA,,TRA watajibu kwa sms,,na kitoa code(neno la siri) ambalo pasipo hilo,,Mtoa huduma/bidhaa hatoweza print risiti katika mashine yake,,,
Mfumo huu utasaidia nini...
1:Utakomesha risit fake maana machine zote hazitaprinti risit bila neno la siri toka TRA kupitia kwa mteja,,,na litamatch na TIN ya mfanya biashara(unique code for a single TIN) hii ikimaanish neno hilo la siri halitatumika zaidi ya mara moja katika TIN zaidi ya moja
2.Mfumo utaziba mwanya wa mfanya biashara kujichagulia kiwango cha thaman ya bidhaa/huduma.
Mwisho
Mapato mengi yanapotea mikononi mwa watu wachache wasiojali masilahi ya nchi bali yao wenyewe,,kama tutaungana kwa pamoja na kuwa waaminifu basi tatizo hili litafika mwisho,,
Asante
Nadhani tungekuwa na tamaduni kama za wenzetu kupewa risiti kabla hata ya kudai tungefika mbali sana. Sasa hapa kwetu shida mtoa risiti hataki kutoa kwa madai eti akupunguzie bei na ukisema hapana wakati mwingine hata hiyo bidhaa utaambiwa rudisha. Imenikuta kariakoo mpaka nikajiuliza je mimi katika rekodi zangu nisipochukua risiti ntawezaje kuweka hesabu zangu mauzo na manunuzi.Nadhani tra mtusaidie sisi wengine tunapata shida risiti kuzipata. kama sheria ipo itumike tu japo huwa tunalalamia lakini kwa sasa hali siyo yaani mtu hataki kukuuzia kisa unataka risiti
 
Matatizo uliyoainisha hapo juu yanatokana na ushirikiano kati ya mteja na mfanyabiashara. Mtu anapewa punguzo labda au chochote mradi akubali kutopokea risiti au kupokea risiti ya bei pungufu..... wote wanafaidika kasoro serikali.

Sasa tuambie katika huu mfumo mpya umetuwekea kitu gani kumsaidia mteja na mfanyabiashara kujiona washindi katika gemu nzima mwisho wa siku???
swali zuri kaka
njia pekee ya kuwabana wanunuzi na wafanya biashara ni kupoteza kabisa mfumo wa cash na badala yake kuwe na mfumo wa online money pekee,,,ambapo kila mtu atakua na fedha zake katika card pekee na sio cash,,,ili kila atakapotaka kufanya manunuzi atumie card,,na kila atakapokua anachanja card yake katika machine ya kuprint risit ili kufanya manunuzi,,,hapohapo na TRA wanakata chao....
tofauti na hapo,,ni ngumu kuziba mwanya huo kama wanunuzi watashindwa kua wazalendo kwa nchi yako
 
swali zuri kaka
njia pekee ya kuwabana wanunuzi na wafanya biashara ni kupoteza kabisa mfumo wa cash na badala yake kuwe na mfumo wa online money pekee,,,ambapo kila mtu atakua na fedha zake katika card pekee na sio cash,,,ili kila atakapotaka kufanya manunuzi atumie card,,na kila atakapokua anachanja card yake katika machine ya kuprint risit ili kufanya manunuzi,,,hapohapo na TRA wanakata chao....
tofauti na hapo,,ni ngumu kuziba mwanya huo kama wanunuzi watashindwa kua wazalendo kwa nchi yako
Cashless economy....... na ni kweli, huko ndio kunadhibitika kirahisi zaidi ndiyo maana hata tozo wamefanikiwa huko.

Shida ni uchumi wetu vitu vingi vinakuwa sio rasmi hivyo changamoto sana katika kukusanya kodi. Asante kwa majibu murua chief
 
Cashless economy....... na ni kweli, huko ndio kunadhibitika kirahisi zaidi ndiyo maana hata tozo wamefanikiwa huko.

Shida ni uchumi wetu vitu vingi vinakuwa sio rasmi hivyo changamoto sana katika kukusanya kodi. Asante kwa majibu murua chief
karibu tena kaka
 
Ni kazi bure TRA kutegemea uaminifu wa wafanyabiashara na wanunuaji. Binadamu kwa asili ni mbinafsi.

Mifumo itakiwayo ni ile ambayo haihusishi hiari. Mfano kwenye petroli na dizeli naamini hatua imepigwa na TRA. Kwa kiasi pia kwenye supermarkets kubwa.

Lakini kwenye biashara nyingi nyingine TRA wanaendelea kupigwa.
 
Back
Top Bottom