Mfumo Vodacom Airtime billing unafanyaje kazi?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Nimepitapita playstore na nimeona kuwa ikitaka kununua kitu huu mfumo unatumika. Naomba kwa ambaye kawahi utumia au anajua jinsi unavyofanya kazi anijulishe namna unafanya kazi?
 
Weka vocha sahihi inayotakiwa kwa app unayoitaka then rud kwenye play store Fanya kununua watachukua vocha yako hapo utakuwa umefanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…