Waandalia mazingira mapema kama ukiweza yaani anzisha hata mradi wa familia watakaoweza kuuendeleza.Kwa mie kaka enu,huwa nawaza jinsi ajira ilivyongumu sasa hv, fikiria miaka 15 ijayo itakuaje pale watoto wangu watakqpo kuwa wanaanza kujitegemea,
Unaongelea solution ya individuals wachache na sio majority kitachohitajika mwisho wa siku ni vitu quality na sio quantity na dunia ya ushindani big fish eat smaller fish huwezi kuwa na utitiri wa vitu vilevile na wahitaji wachache alafu vyote vika-survive......Waandalia mazingira mapema kama ukiweza yaani anzisha hata mradi wa familia watakaoweza kuuendeleza.
Hii inawezekana vipi kuwa enforced ? Ni kipi kinakuzuia kukataa kumpa na ni mahakama ipi itakubaliana nae akikushitaki ukizingatia yeye sio Job agency an alichofanya ni magumashi ?Habari wakuu ? Natafuta kazi Nina certificate ya lab na Nina experience ya miaka 3 ya lab technician, Quality control na Quality assurance. Yeyote atakaye nipa connection nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12
mkuu unaoongea kweli, kwa nchi zetu za kimasikini hatuna hata viwanda vya uzalishaji wala hatujawekeza kwenye teknolojia ndio matokeo yake haya tunayopitia.Hii inawezekana vipi kuwa enforced ? Ni kipi kinakuzuia kukataa kumpa na ni mahakama ipi itakubaliana nae akikushitaki ukizingaria yeye sio Job agency an alichofanya ni magumashi ?
Japo walikuwa wanazingua ila angalau fair competition ilikuwa inaonekana, sijui nani akashauri taasisi ziajiri na kusimamia zenyewe mchakato wa ajira, bila connection ndefu huji kuajiriwa kwenye hizi taasisi.Mama Samia awape nguvu PSRS, ajira zote zipitie kwao
Tuombe na kuvumilia tuJapo walikuwa wanazingua ila angalau fair competition ilikuwa inaonekana, sijui nani akashauri taasisi ziajiri na kusimamia zenyewe mchakato wa ajira, bila connection ndefu huji kuajiriwa kwenye hizi taasisi.
Pole mkuu, tupo wengi
Umehitimu mwaka gani bossInauma sana bro
Sijajua mfumo unaosemea ww ni upi ila kama ni hii niliyokutana nayo ya ku apply kwenye system kisha majina yaitwa mkafanye usahili wa face to face, huko ndio 'koneksheni' inapopata nafasi, nina mifano mingi tu maana sahili nyingi nilikwenda na watu ninao wafahamu kama classmates etc, and trust me kuna mauzauza sana huko.Mfumo mpya wa usaili wa kidigital kama wewe kilaza na uko shallow kichwani nakushauri tafuta fani nyingine tu maana hakuna mpenyo wa connection ni brains zako tu kuingia serikalini
Mawazo yako watu wanapita kazi bila connection yeyote Nina ushahidi. Ww usiijazw particular taesa au ajira portal mtasubiri sanaMfumo wa Ajira Nchini kwetu umeshindikana kabisa hasa kwa tusio na Koneksheni kabisaa!
Mfano: nimewahi kuitwa kwenye interview nyingi tu za serikalini ila zote zinafanywa kwa ushahidi tu ili wale wasahili walipwe kwa kupoteza muda wetu.
Viongozi wanakazia eti vijana mjiajiri wanasahau kama Kuji-ajiri pia kunataka Pesa tena muda mwingine ni pesa ndefu kuliko mshahara uliokuwa una vizia kwenye Ajira zao.
Nina rafiki zangu wamesomea Mambo ya tourism 😂 sasa sijui wafuge simba wao au wanunue land cruiser la Million 100 wabebe wazungu.
Mwingine kasomea shipping pale TPA temeke sasa yeye ajiajiri vipi wakati hao TPA wenyewe wameporwa kazi
Kibaya Zaidi niliwahi kuomba nafasi za mafunzo ya JKT ila nikakosa kwa sababu za hovyo sana ila kuna dogo alilazimishwa na dingi ake ila dogo hataki kabisa ni vile tu ana koneksheni zimempa hiyo nafasi ambayo sisi tumenyimwa kwa makusudi apewe dogo asiye itaka tena analalamika tangu kafika mpaka anaondoka, tena kuna muda alitaka kutoroka asiandikishwe ila karudishwa na kiongozi wa pale pale!
Wale walioenda kwenye usahili wa SENSA wanakumbuka balaa la pale na figisu za makusudi!
Wiki kadhaa hapa kulikuwa na usahili wa TAKUKURU. Kuna jamaa angu alifika usahili wa ORAL akaulizwa "Arusha kilitokoea nini juzi kati?" Khee, imagine maswali kama hayo mtu umempandisha basi umemsubirisha masaa!! Umempima vipimo, umemvua nguo alafu unamuuliza Arusha kimetokea nini majuzi kati? Au Tarehe ya kufa Lowasa? Khaaa!
Mi sio adui wa kujiajiri ila kuna vitu haviingii akili na vingine viko nje ya uwezo wetu
Mfano: Wengi tumesomeshwa either na wazazi na ndugu au na serikali (mikopo) ila tulio someshwa na ndugu na wazazi HUWEZI kuwaambia nipeni izo milioni 6 nikafungue biashara sitaki degree haina uhakika wa Ajira!! Mzazi gani au ndugu gani atakubali? Tunabaki kwenye kifungo icho mpaka tunakuja kuteseka mtaani!
Pia baadhi ya ajira za kujiajiri zinataka ukaze roho mfano washkaji uliosoma nao msingi wakafeli wakawa bodaboda au bajaji au car washer! Umewaacha karibu miaka kumi alafu unarud mtaani unamuomba 'deiwaka' aisee inataka moyo!
Mi nanyoa watu Saloon ila bosi wangu nilimuacha shule ya msingi jina lake halikuwa kwenye Listi ya form 1, mimi nina degree langu geto lina mhuri wa mwanasheria! Tuna pambana na Koneksheni huku tuna pambana na ndugu wenye wivu wanao nadhani degree ndio Pesa.
Huku tuna kaza sura kwa aibu tunazopata mitaani 2025 mgombea anasimama anasema MKINICHAGUA NAWAPA UBWABWA!
Mawazo yako watu wanapita kazi bila connection yeyote Nina ushahidi. Ww usiijazw particular taesa au ajira portal mtasubiri sanaMfumo wa Ajira Nchini kwetu umeshindikana kabisa hasa kwa tusio na Koneksheni kabisaa!
Mfano: nimewahi kuitwa kwenye interview nyingi tu za serikalini ila zote zinafanywa kwa ushahidi tu ili wale wasahili walipwe kwa kupoteza muda wetu.
Viongozi wanakazia eti vijana mjiajiri wanasahau kama Kuji-ajiri pia kunataka Pesa tena muda mwingine ni pesa ndefu kuliko mshahara uliokuwa una vizia kwenye Ajira zao.
Nina rafiki zangu wamesomea Mambo ya tourism 😂 sasa sijui wafuge simba wao au wanunue land cruiser la Million 100 wabebe wazungu.
Mwingine kasomea shipping pale TPA temeke sasa yeye ajiajiri vipi wakati hao TPA wenyewe wameporwa kazi
Kibaya Zaidi niliwahi kuomba nafasi za mafunzo ya JKT ila nikakosa kwa sababu za hovyo sana ila kuna dogo alilazimishwa na dingi ake ila dogo hataki kabisa ni vile tu ana koneksheni zimempa hiyo nafasi ambayo sisi tumenyimwa kwa makusudi apewe dogo asiye itaka tena analalamika tangu kafika mpaka anaondoka, tena kuna muda alitaka kutoroka asiandikishwe ila karudishwa na kiongozi wa pale pale!
Wale walioenda kwenye usahili wa SENSA wanakumbuka balaa la pale na figisu za makusudi!
Wiki kadhaa hapa kulikuwa na usahili wa TAKUKURU. Kuna jamaa angu alifika usahili wa ORAL akaulizwa "Arusha kilitokoea nini juzi kati?" Khee, imagine maswali kama hayo mtu umempandisha basi umemsubirisha masaa!! Umempima vipimo, umemvua nguo alafu unamuuliza Arusha kimetokea nini majuzi kati? Au Tarehe ya kufa Lowasa? Khaaa!
Mi sio adui wa kujiajiri ila kuna vitu haviingii akili na vingine viko nje ya uwezo wetu
Mfano: Wengi tumesomeshwa either na wazazi na ndugu au na serikali (mikopo) ila tulio someshwa na ndugu na wazazi HUWEZI kuwaambia nipeni izo milioni 6 nikafungue biashara sitaki degree haina uhakika wa Ajira!! Mzazi gani au ndugu gani atakubali? Tunabaki kwenye kifungo icho mpaka tunakuja kuteseka mtaani!
Pia baadhi ya ajira za kujiajiri zinataka ukaze roho mfano washkaji uliosoma nao msingi wakafeli wakawa bodaboda au bajaji au car washer! Umewaacha karibu miaka kumi alafu unarud mtaani unamuomba 'deiwaka' aisee inataka moyo!
Mi nanyoa watu Saloon ila bosi wangu nilimuacha shule ya msingi jina lake halikuwa kwenye Listi ya form 1, mimi nina degree langu geto lina mhuri wa mwanasheria! Tuna pambana na Koneksheni huku tuna pambana na ndugu wenye wivu wanao nadhani degree ndio Pesa.
Huku tuna kaza sura kwa aibu tunazopata mitaani 2025 mgombea anasimama anasema MKINICHAGUA NAWAPA UBWABWA!