Hili tangazo lako linatuhusu nin sis wakulima?au mmeishiwa posho hvyo mmeambiwa mtuhamasishe sie wakulima?Kulipa kodi ni jambo jema lakini matumizi ya hovyo yasiyomsaidia mlipa kodi,ulipaji unakua wa mtutu wa bunduki.Wizara ya Fedha na Mamlaka ya Mapato (TRA) wamethibitisha kuwa tatizo lililotokea kwenye mfumo wa kielektroniki wa utoaji risiti (EFD) kwa siku kadhaa zilizopita limetatuliwa sasa. Hivyo asitokee mfanyabiashara atakayekataa kutoa risiti za kielektroniki kwa kisingizio cha kuwa mfumo hauko sawa kama ilivyokuwa hapo awali. Hima Watanzania tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi yetu.
UKIUZA TOA RISITI, UKINUNUA DAI RISITI.
Hili tangazo lako linatuhusu nin sis wakulima?au mmeishiwa posho hvyo mmeambiwa mtuhamasishe sie wakulima?Kulipa kodi ni jambo jema lakini matumizi ya hovyo yasiyomsaidia mlipa kodi,ulipaji unakua wa mtutu wa bunduki.
Mkulima wa tz na EFD wap na wapiLabda sema kwamba huna elimu ya kodi. Nani kasema kuwa mkulima hapaswi kulipa kodi? Maendeleo yetu yanatuhitaji sote mimi na wewe
Mkulima wa tz na EFD wap na wapi
Bado zinasumbua.Wizara ya Fedha na Mamlaka ya Mapato (TRA) wamethibitisha kuwa tatizo lililotokea kwenye mfumo wa kielektroniki wa utoaji risiti (EFD) kwa siku kadhaa zilizopita limetatuliwa sasa. Hivyo asitokee mfanyabiashara atakayekataa kutoa risiti za kielektroniki kwa kisingizio cha kuwa mfumo hauko sawa kama ilivyokuwa hapo awali. Hima Watanzania tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi yetu.
UKIUZA TOA RISITI, UKINUNUA DAI RISITI.
True.Kwetu ripoti bado haziendi, TRA wanafanya uzembe mkubwa sana halafu hawako wazi.