Mfumo wa Elimu TZ unaandaa Manamba (slaves)

Mfumo wa Elimu TZ unaandaa Manamba (slaves)

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Kuanzia miundombinu (madarasa , maktaba, maabr) walimu (maslahi, sifa za kujiunga) na Content (curriculum) ni Tia maji Tia maji. Tusitegemee maajabu.
 
Kuanzia miundombinu (madarasa , maktaba, maabr) walimu (maslahi, sifa za kujiunga) na Content (curriculum) ni Tia maji Tia maji. Tusitegemee maajabu.
😂😂😂😂 Kweli kabisa

Foolish education system in a foolish country
 
Mzungu amendaa mfumo wa kuwaiingiza watu kwenye mfumo wa utumwa kupitia elimu fake inayotolewa Afrika.

Haishangazi kuona wasomi ndiyo hulalamikia ukosefu wa ajira.
 
Back
Top Bottom