Eddy Rehan
New Member
- Feb 10, 2017
- 4
- 8
Biashara ni ajenda ya Duniani sasa, Viwanda ni kujenga uchumi wa kujitegemea, hivi ni kuvifikia ikiwa Taifa halifundishi jinsi ya kupata mahitaji ya kwa kujitegemea.
Ikiwa shule zitafundisha jinsi ya kupata mahitaji kwa kujitegemea, hapo tutawatengeneza wanafunzi kuanza kuwa wabunifu na fani.
Kubadiri mfumo wa elimu inaweza kulichukua taifa miaka 30 lakini bado ni bora kufanya hivyo kuliko kusubiri ajira kutoka kwa wawekezaji ambao sio salama kiuchumi na kisiasa.
Ikiwa shule zitafundisha jinsi ya kupata mahitaji kwa kujitegemea, hapo tutawatengeneza wanafunzi kuanza kuwa wabunifu na fani.
Kubadiri mfumo wa elimu inaweza kulichukua taifa miaka 30 lakini bado ni bora kufanya hivyo kuliko kusubiri ajira kutoka kwa wawekezaji ambao sio salama kiuchumi na kisiasa.