Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 24
Nawaza kwamba mfumo wa Elimu ya msingi hapa Tanzania unashida.
Unahitaji marekebisho makubwa.
1. Naona kwamba ufumo huu una upungufu mkubwa katika matumizi ya Lugha.
Kuendelea kusisitiza matumizi makubwa ya Lugha ya KISWAHILI, naona ni kuwazuia wasomi wetu kuwa washindani wazuri kwenye viwango vya kimataifa.
Lugha ya Kiingereza ni pendekezo langu.
2. Elimu ya msingi imekuwa ya kinadharia zaidi.
Napendekeza elimu hii iwe ya vitendo zaidi ili kuzalisha wasomi wanaojua kuweka katika utendaji vile walivyojifunza.
3. Mfumo huu haumjengi mwanafunzi katika kiwango cha kuwa mbunifu.
Napendekeza masomo maalumu ya ubunifu yaingizwe katika mitaala husika.
4. Waalimu wa shule za msingi hawapewi msisitizo na msaada wa kujiendeleza kitaaluma.
Napendekeza uwepo mkakati wa makusudi wa kuwaendeleza waalimu wa shule za msingi kulingana na mabadiliko ya haraka ya kiteknolojia.
Unahitaji marekebisho makubwa.
1. Naona kwamba ufumo huu una upungufu mkubwa katika matumizi ya Lugha.
Kuendelea kusisitiza matumizi makubwa ya Lugha ya KISWAHILI, naona ni kuwazuia wasomi wetu kuwa washindani wazuri kwenye viwango vya kimataifa.
Lugha ya Kiingereza ni pendekezo langu.
2. Elimu ya msingi imekuwa ya kinadharia zaidi.
Napendekeza elimu hii iwe ya vitendo zaidi ili kuzalisha wasomi wanaojua kuweka katika utendaji vile walivyojifunza.
3. Mfumo huu haumjengi mwanafunzi katika kiwango cha kuwa mbunifu.
Napendekeza masomo maalumu ya ubunifu yaingizwe katika mitaala husika.
4. Waalimu wa shule za msingi hawapewi msisitizo na msaada wa kujiendeleza kitaaluma.
Napendekeza uwepo mkakati wa makusudi wa kuwaendeleza waalimu wa shule za msingi kulingana na mabadiliko ya haraka ya kiteknolojia.
Last edited:
