Mfumo wa elimu

Lolchala

Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
14
Reaction score
0
Hapo mwanzo haukuwepo na mabadiliko ya mitaala za kila wakati kama hivisasa-kila Kiongozi anayeingia kuongoza huja na Ya Kwake,mpaka wanafunzi wanachanganyikiwa-Unashindwa kitabu Gani cha Hesabu hutumika Shule za Msingi na Sekondari.
-Pili Shule hizi za kata zingekuw na Maendeleo na Matokeo mazuri kama watoto wa Wabunge,Mawaziri na Raisi wasoma Huko nao-Bahati mbaya zimeanzishwa kama shule za walala Hoi/Maskini-MFUMO MZURI ni ya Wote kuonekana kwenye Mfumo huo kwa Usaw na wote Tuone Uchungu uliopo kwenye KAPU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…