Baraza la mitihani la Tanzania NECTA linatarajia kuanza kutumia mfumo mpya wa upangaji matokeo ya mitihani ya mwisho yaani FE kuanzia mitihani itakayofanyika NOVEMBER,2014 na kidato cha sita MAY,2015.
Kwa mujibu wa kaimu katibu mtendaji wa BMT CA itachangia alama 30 na FE alama 70.Source barua ya tarehe 3.3.2014 iliyotumwa shuleni kwangu