Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Katika taratibu za kazi za kijasusi, hivi ni kweli kwamba mnaweza kutangaziwa mtu amekufa wakati bado anaishi sehemu nyingine?.
Mara nyingi watu wamekua wakidai balali yuko hai na anaendalea na maisha yake.
Lengo sio kujua balali alipo, ninachotaka kujua ni kwamba mfumo huu wa ujasusi upo na unaendelea kufanya kazi kwa usahihi duniani.
Mwenye ufahamu na mambo haya atuweke vizuri katika hili.
Mara nyingi watu wamekua wakidai balali yuko hai na anaendalea na maisha yake.
Lengo sio kujua balali alipo, ninachotaka kujua ni kwamba mfumo huu wa ujasusi upo na unaendelea kufanya kazi kwa usahihi duniani.
Mwenye ufahamu na mambo haya atuweke vizuri katika hili.