Mfumo wa kijasusi wa kuficha watu upo? Unafanyaje kazi?

Mfumo wa kijasusi wa kuficha watu upo? Unafanyaje kazi?

Aiseeee kama ndio Ivo basi utawala ni mgumu bora niuze genge tu.

Amna wala sio mgumu hisia zako tu! Wanachofanya watala kamawtaawala hawatakiwi kupeleka mambo kwa hisia, mfano balali kukumbwa na kashfa lazima iangaliwe mchango wako kwa serikalii na je hasara gani zitatokea iwapo atatoweshwa/uwawa. then ndipo yanatoka maamuzi!

Upo hadi apo??
 
Amna wala sio mgumu hisia zako tu! Wanachofanya watala kamawtaawala hawatakiwi kupeleka mambo kwa hisia, mfano balali kukumbwa na kashfa lazima iangaliwe mchango wako kwa serikalii na je hasara gani zitatokea iwapo atatoweshwa/uwawa. then ndipo yanatoka maamuzi!

Upo hadi apo??

Dunia imejaa unafiki aisee,wanasiasa wabaya sana.
 
Nadhani mfano mwingine ni
1. Hitler
2. Osama
 
katika taratibu za kazi za kijasusi, hivi ni kweli kwamba mnaweza kutangaziwa mtu amekufa wakati bado anaishi sehemu nyingine?.

Mara nyingi watu wamekua wakidai balali yuko hai na anaendalea na maisha yake.

Lengo sio kujua balali alipo, ninachotaka kujua ni kwamba mfumo huu wa ujasusi upo na unaendelea kufanya kazi kwa usahihi duniani.

Mwenye ufahamu na mambo haya atuweke vizuri katika hili.


kwanini unataka kujua, na unataka kujua ili iweje?
 
upo kabisa!!!!
upo wa kubadilisha mtu na mwingne anahamishwa na kutafutiwa fake death!!!
 
Ni kwa nin watumie gharam zote za kuwaficha hawa watu!?..kwa nni wasiwaue tu?..ya nini ku take risk kwa kuwaach hai?..Coz katika tasnia ya ujasusi siku zote wanaamin only a dead man can not talk..
why do they bother to keep them alive?

mkuu natumaini humaanishi kwamba kutoa roho ya mtu katika tasnia ya ujasusi ni suala dogo sana.
uhai wa mtu unathamani sana na naamini hao jamaa hufanya juhudi zote ili kusalimisha uhai wa mtu. ukiona mtu
kapumzishwa ujue tafiti za hao jamaa zimeonyesha kwamba aliyepumzishwa angeendelea kuwa hai basi watu wengi wangepoteza maisha...
 
Haya mambo yapo sana, wakati mwingine hata watu waliohukumiwa kifo huuawa kwa namna nyingi kulinda mapungufu ya vyombo vya ulinzi. Mfano inaposemekana "jambazi fulani limeuawa likijizana risasi na polisi" wakati mwingine sio kweli wanaenda magerezani kuwachukua wale wenye hukumu za vifo au vifungo vya maisha, wanauawa kisha inasemekana alikua ajibizana risasi na polisi. Hii ni kwa sababu ya kupunguza aibu ya jeshi la polisi kukosa ufanisi kwa baadhi ya matukio
 
Haya mambo yapo sana, wakati mwingine hata watu waliohukumiwa kifo huuawa kwa namna nyingi kulinda mapungufu ya vyombo vya ulinzi. Mfano inaposemekana "jambazi fulani limeuawa likijizana risasi na polisi" wakati mwingine sio kweli wanaenda magerezani kuwachukua wale wenye hukumu za vifo au vifungo vya maisha, wanauawa kisha inasemekana alikua ajibizana risasi na polisi. Hii ni kwa sababu ya kupunguza aibu ya jeshi la polisi kukosa ufanisi kwa baadhi ya matukio

Umenipa kitu kikubwa sana mkuu!
 
Haya mambo yapo sana, wakati mwingine hata watu waliohukumiwa kifo huuawa kwa namna nyingi kulinda mapungufu ya vyombo vya ulinzi. Mfano inaposemekana "jambazi fulani limeuawa likijizana risasi na polisi" wakati mwingine sio kweli wanaenda magerezani kuwachukua wale wenye hukumu za vifo au vifungo vya maisha, wanauawa kisha inasemekana alikua ajibizana risasi na polisi. Hii ni kwa sababu ya kupunguza aibu ya jeshi la polisi kukosa ufanisi kwa baadhi ya matukio
BIG NOOOO, wahalifu au majambazi sugu huuwawa na kuwekwa eneo la wazi na watu huruhusiwa kuwatambua ndiomaana wengine huwaelezea walivyowajua au walivyotendwa nao.
 
Haya mambo yapo sana, wakati mwingine hata watu waliohukumiwa kifo huuawa kwa namna nyingi kulinda mapungufu ya vyombo vya ulinzi. Mfano inaposemekana "jambazi fulani limeuawa likijizana risasi na polisi" wakati mwingine sio kweli wanaenda magerezani kuwachukua wale wenye hukumu za vifo au vifungo vya maisha, wanauawa kisha inasemekana alikua ajibizana risasi na polisi. Hii ni kwa sababu ya kupunguza aibu ya jeshi la polisi kukosa ufanisi kwa baadhi ya matukio

Mbona unatutafunisha karanga mbichi na dagaa mkuu!!?

Vyombo vya ulinzi havina haja ya kujiosha kwa wananchi,kwa trick za kipuuzi namna hiyo.kwani hao majambazi sugu si wao wenyewe waliwakamata!!!,kwanini kuwauwa mpaka wawashirikishe wananchi!!!
Mbona wasiwajuze wakati wanawakamata!!!

Nukupe taalifa kuwa ,kuna watu wanakamatwa na wanachapwa risasi kimya kimya bila mwananchi kujulishwa.
Maana wajue,wasijue hawatabadirisha chochote.
 
Back
Top Bottom