Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
siri kali.
Kwann watu hao tusikutane nao ata kwa bahati mbaya.
Prof Mwaikusa aikutana nae Marekani huko naskia, si unaona yeye ndo kapotezwa!
Bora hasingesema kama alimuona.
Kwa hiyo tambua tuna marehemu wengi sana waliofishwa/semekana wamekufa mahala fulani ilihali tunaishi nao mtaani!
Kwa hiyo tambua tuna marehemu wengi sana waliofishwa/semekana wamekufa mahala fulani ilihali tunaishi nao mtaani!
Tunafanywa wajinga kama ndio Ivo!.
Unahisi ni kina nani wanakufanyeni wajinga? Na ni mko wangapi mnaofanywa wajinga!
Ni kwa nin watumie gharam zote za kuwaficha hawa watu!?..kwa nni wasiwaue tu?..ya nini ku take risk kwa kuwaach hai?..Coz katika tasnia ya ujasusi siku zote wanaamin only a dead man can not talk..
why do they bother to keep them alive?
Prof Mwaikusa aikutana nae Marekani huko naskia, si unaona yeye ndo kapotezwa!