Mfumo wa kukokotoa mahesabu ya duka

Mfumo wa kukokotoa mahesabu ya duka

genman

Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
46
Reaction score
106
Ninayo app nzuri ya kupiga mahesabu ya duka.Inafaa kutumia wakati wa kufanya stock.
1. Unaweza kujua duka lako limekuingizia sh. kwa mwezi au kwa mwaka.
2. Inaonyesha thamani stock iliyopo dukani
3. Inaonyesha Kila bidhaa unayouza Ina faida ya sh. ngapi
4. Kama Kuna upotevu wa fedha inaonyesha.

INAFAA KUTUMIA KWENYE SMART PHONE AU COMPUTER

Ili kuitumia unatakiwa kuwa na rekodi sahihi za Kila manunuzi na mauzo ya Kila siku. Nicheki Whatsapp 0753546162
 
Tumia SMART MAUZO APP ni nzuri sana. Inaonyesha mauzo yako ya siku, faida yako uliyoipata(daily profit) , inaonyesha stock uliyonayo of which ni ngumu mtu kukuibia maana bidhaa zinauzwa kwa system. Ina weka rekodi nzuri sana za biashara.

Ila malipo yake ni efu 10 kwa mwwzi kwa standard version. Inatoa invoice, bill yaan kila kitu, inarekodi manunuzi, madeni ya wateja unawadai and so forth.

Pia rekod za biashara yako unaziona sehemu yoyote as long as una simu au laptop yenye internet.
 
Tumia SMART MAUZO APP ni nzuri sana. Inaonyesha mauzo yako ya siku, faida yako uliyoipata(daily profit) , inaonyesha stock uliyonayo of which ni ngumu mtu kukuibia maana bidhaa zinauzwa kwa system. Ina weka rekodi nzuri sana za biashara.

Ila malipo yake ni efu 10 kwa mwwzi kwa standard version. Inatoa invoice, bill yaan kila kitu, inarekodi manunuzi, madeni ya wateja unawadai and so forth.

Pia rekod za biashara yako unaziona sehemu yoyote as long as una simu au laptop yenye internet.
Acha uchawi ndugu
 
Back
Top Bottom