Mfumo wa kuomba ajira wa TRA hauna sehemu ya namba ya NIDA

Mfumo wa kuomba ajira wa TRA hauna sehemu ya namba ya NIDA

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Je huu mfumo wa TRA kwa nini hawajaintegrate na mfumo wa NIDA ili kupunguza kupata data ambazo ni tatizo huko mbeleni. Je kwa nini wasingetumia mfumo wa TUME YA AJIRA AMBAO TAYARI UPO.....

Kama TAIFA TUNARUDI NYUMA.
 
Je huu mfumo wa TRA kwa nini hawajaintegrate na mfumo wa NIDA ili kupunguza kupata data ambazo ni tatizo huko mbeleni. Je kwa nini wasingetumia mfumo wa TUME YA AJIRA AMBAO TAYARI UPO.....

Kama TAIFA TUNARUDI NYUMA.

Yan… ni changamoto wamesema mtu uweke picha pia hamna sehemu ya ku upload picha wala birth certificate
Naona mfumo bado hauko sawa
 
Je huu mfumo wa TRA kwa nini hawajaintegrate na mfumo wa NIDA ili kupunguza kupata data ambazo ni tatizo huko mbeleni. Je kwa nini wasingetumia mfumo wa TUME YA AJIRA AMBAO TAYARI UPO.....

Kama TAIFA TUNARUDI NYUMA.
NIDA inakuzuia nini kuomba kazi mzee?
 
wabongo bhana kwani cv yako haijaambatanishwa na vyeti pamoja na chakuzaliwa si unadumbukiza tu kwa sehem waliposema uattach qualification tumechelewa sana ndugu zetu
 
Back
Top Bottom