Mfumo wa kutoa control number kwa private companies

Joined
Feb 12, 2020
Posts
72
Reaction score
87
Habar wana JF ,

Actually sijawahi kuelewa vigezo gani vinatumika kwa account yako ya bank kuweza kugenerate control nø , je huu mfumo ni wa SMT na taasisi zake tu??

#Je kama ni Private companies ambazo zinahitaji kutoa huduma zao kwa kugenerate control nō wanaweza kuunganishwa na huduma hizi na #Je ni vigezo gani vinatumika katika hilo ??

Naomba kuwasilisha
 
Huu mfumo upo wasiliana na bank husika wanakutengenezea mfumo wako.

CRDB
TPB

Kwa uhakika wanatumia mfumo wa control number.

Binafsi nalipa ada ya mtoto kwa kutumia control number kwenye shule flani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…