Mfumo wa madereva wa mabasi ya mikoani na magari husika ukoje????

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
Nataka kujua madereva wa wanaoendesha mabasi kwenda mikoa eg ya Mwanza, bukoba yaani tuseme ile mikoa unakaa kwenye gari kutwa nzima ukoje??? Kwa mara ya kwanza mwaka huu ndio nimesafiri safari ya mbali kwenda Igunga tabora, kilichonistajabisha ni kwamba zaidi ya masaa 14 hadi kufika Igunga, Swali langu lipo hivi
01:Je dereva akifika mkoa husika, mfn KAHAMA, kesho anageuka na gari lake kurudi jijin dar??? Na gari lilelile???? Au atapangiwa siku ya pili yake kurudi tena dar????.
Nataka kujua hiki kitu wajameni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama gari halijasumbua yaani limefika salam basi hilo hilo linageuka kurudi dar na ndio maana siku nyingine dereva anachoka anamwambia boss gari bovu ili apate muda wa kupumzika ( yaani anasingizia ugonjwa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…