Mfumo wa NACTE una shida?

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
7,683
Reaction score
15,128
Habari ya wakati huu.

Nilikua nahitaji kumuombea kijana mmoja kozi za afya ngazi ya diploma baada ya kupata taarifa jana kua mfumo umefunguliwa ila kila nikitembelea ukurasa wao Nacte naona tu tangazo la kuhusu udahili ila sioni mahala pa kuomba hizo kozi. Kwa aliyefanikisha naomba anijuze nikamilishe hili suala.

Natanguliza shukrani
 
Bado hawajakubaliana vigezo vya kujiunga na diploma za afya c3 au d3 ya masomo ya sayansi.
 
Bado hawajakubaliana vigezo vya kujiunga na diploma za afya c3 au d3 ya masomo ya sayansi.
Kumbe wanataka kubadili vigezo viwe c3 badala ya D3 sasa mbona wametoa Guide book.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…