KERO Mfumo wa NeST umetushinda?

KERO Mfumo wa NeST umetushinda?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mzee Wa Kale Kabisa

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2018
Posts
2,621
Reaction score
4,322
Ni siku ya 3 sasa mfumo wa manunuzi wa serikali NeST unasumbua (haupatikani). Je hii ndio ile kuthibitisha kuwa Watanzania hakuna jambo tunaloliweza.?

Ikumbukwe kuwa mfumo huu unamilikiwa 100% na serikali hivyo wataalam wanaousimamia ni wa ndani. Na sio mara ya kwanza kwa kuwa mara kwa mara mfumo huu kusumbua na kukwamisha shughuli za uombaji zabuni kwa wazabuni wanaotumia mfumo huu.

Wahusika tunaomba muwe serious kidogo maana ishu ya mfumo kusumbua imekuwa ikijirudia mara kwa mara
 
N kweli.
Pia wana tatizo la kutoa taarifa. Unakuta tenda imetangazwa leo, then ghafla notification unapata few hours before deadline as if wanadhani muda wote tunachungulia mfumo kama vile tunangoja matokeo.
 
Huu ndiio ubaya wa kuwekana wekana kindugu ndugu work done equal to zero, madogo wabobevu wa IT wapo mtaani tu au mpaka wadukue huo mfumo wao
 
Ni siku ya 3 sasa mfumo wa manunuzi wa serikali NeST unasumbua (haupatikani). Je hii ndio ile kuthibitisha kuwa Watanzania hakuna jambo tunaloliweza.?

Ikumbukwe kuwa mfumo huu unamilikiwa 100% na serikali hivyo wataalam wanaousimamia ni wa ndani. Na sio mara ya kwanza kwa kuwa mara kwa mara mfumo huu kusumbua na kukwamisha shughuli za uombaji zabuni kwa wazabuni wanaotumia mfumo huu.

Wahusika tunaomba muwe serious kidogo maana ishu ya mfumo kusumbua imekuwa ikijirudia mara kwa mara

Tumekaa kuviziana na kupiga deal. Hakuna tofauti ya msomi na misheni town kwenye nchi yetu. Inategemea nani atakuwa wapi kwa wakati gani.
 
Back
Top Bottom