Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Taarifa inayoendelea kwa kasi sasa ni IT kuvurugika dunia nzima.
Summary
* Major IT outages have hit industries across the world; almost 1,400 flights are cancelled and banking, healthcare and shops affected
* Cybersecurity firm Crowdstrike says a "defect" in one of its software updates hit Windows operating systems
* A fix has been deployed, the company says, but admits it "could be some time" before systems are fully back up and running
* The majority of GP surgeries in England are experiencing issues, the NHS says, with trains, shops and pharmacies in the UK also hit
=====
Mfumo wa TEHAMA watetereka na kuzusha kizaazaa duniani
Biashara na taasisi nyingi kote ulimwenguni zimeshuhudia kukatika kwa mawasiliano baada ya kutokea hitilafu kubwa katika mfumo wa TEHAMA.
Hitilafu kwenye mfumo wa TEHAMA umeleta kizaazaa kila kona duniani
Mabenki, maduka makubwa na taasisi nyingine kote duniani, zimeripoti kukatika kwa huduma zinazohusisha intaneti, huku baadhi ya mashirika ya ndege yakitoa tahadhari ya kucheleweshwa au kusitishwa safari za ndege.
Tatizo hilo limeathiri safari za ndege nchini Marekani, limetatiza matangazo ya televisheni nchini Uingereza na limeathiri mawasiliano ya simu nchini Australia. Uwanja wa ndege wa Brandenburg nchini Ujerumani, pia umetangaza kusitisha baadhi ya safari za ndege.
Kampuni kubwa ya teknolojia ya Microsoft imesema usiku wa kuamkia leo kuwa inachunguza tatizo hilo, ambalo limeathiri huduma na programu zake na kuongeza kwamba watumiaji wake watashindwa kuzifikia huduma nyingi zinazotegemewa na mamilioni ya watu duniani kote.
Summary
* Major IT outages have hit industries across the world; almost 1,400 flights are cancelled and banking, healthcare and shops affected
* Cybersecurity firm Crowdstrike says a "defect" in one of its software updates hit Windows operating systems
* A fix has been deployed, the company says, but admits it "could be some time" before systems are fully back up and running
* The majority of GP surgeries in England are experiencing issues, the NHS says, with trains, shops and pharmacies in the UK also hit
=====
Mfumo wa TEHAMA watetereka na kuzusha kizaazaa duniani
Biashara na taasisi nyingi kote ulimwenguni zimeshuhudia kukatika kwa mawasiliano baada ya kutokea hitilafu kubwa katika mfumo wa TEHAMA.
Hitilafu kwenye mfumo wa TEHAMA umeleta kizaazaa kila kona duniani
Mabenki, maduka makubwa na taasisi nyingine kote duniani, zimeripoti kukatika kwa huduma zinazohusisha intaneti, huku baadhi ya mashirika ya ndege yakitoa tahadhari ya kucheleweshwa au kusitishwa safari za ndege.
Tatizo hilo limeathiri safari za ndege nchini Marekani, limetatiza matangazo ya televisheni nchini Uingereza na limeathiri mawasiliano ya simu nchini Australia. Uwanja wa ndege wa Brandenburg nchini Ujerumani, pia umetangaza kusitisha baadhi ya safari za ndege.
Kampuni kubwa ya teknolojia ya Microsoft imesema usiku wa kuamkia leo kuwa inachunguza tatizo hilo, ambalo limeathiri huduma na programu zake na kuongeza kwamba watumiaji wake watashindwa kuzifikia huduma nyingi zinazotegemewa na mamilioni ya watu duniani kote.