Mfumo wetu ndio unaotunyonga!! Na Wahusika wa mfumo wanatushuhudia tunavyokufa

Mfumo wetu ndio unaotunyonga!! Na Wahusika wa mfumo wanatushuhudia tunavyokufa

Albendazole

Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
34
Reaction score
68
Ulishawahi kumuona kipofu barabarani akikosea njia,na pembeni kuna mtu mzima wa kumsaidia,lakini Cha ajabu badala ya kutoa msaada anasepa akijisemea Moyoni yupo mwingine atakayekuja kumsaidia!!

.....najua kila ck watu wanalalamika,na wahusika wanaona malalamiko kila ck!! Ila wanasubiri Hadi wahusika wakuuu waje kusema ,ndo nao waanze kuchukua hatua

Leo hii mtoto wako yule aliyesomea nursing au lab amesoma kwa shida sana na amefata sheria na vigezo,uck kucha kajipinda aje kupata matokeo mazuri! Mungu si asumani lakini amefanya vizuri,Ila Cha ajabu huko kufaulu kwake na kusoma kwake hakuna tena maana na hawezi kuajiriwa,Hadi afanye mtihani mwingine WA Leseni na alipie!! Na yabidi apambane tena afaulu...la sivyo atabaki mtaani kama wenzake ambao hawajasoma kabisa!!

Cjajua,huu mitaala wa ma vyuoni kwa hizi fact inatungwa na akina nani?? Hadi mtoto anafaulu
Na hii mitihani ya leseni pia nayo inatungwa nani?? Ambapo mtu akifeli asiwe na kibali na haki ya kufanya kazi hata kama ana cheti Cha ufaulu....!!

Kama ni muhimu sana,kwanini wasiweke km somo ktk masomo,ili mtu akifaulu mara moja ijulikane amefaulu!!

Yote Tisa,
Daktari Umekaa mtaani miaka 4 bila kazi,
Then ghafla Linatoka Tangazo la kazi,na kigezo kimojawapo uwe na leseni valid, (namaanisha leseni ya kazi )

Unataka ku renew leseni yako alimradi ufanye application! Japo ubahatishe kama unaweza pata kazi....Cha ajabu system inataka kuwa kama unataka ku renew leseni yako au upate leseni Mpya basi ulipie miaka yoote hiyo Toka ulipomaliza chuo! Yani kila mwaka yabidi uulipie,haijalishi umefanya kazi au la,haijalishi ulikuwa unauza vitumbua,ulikuwa unaumwa,Au ulikaa Nyumbani ttttu

Haya unalipia leseni yako mwezi wa kumi 2022 ambayo ni ya mwaka mzima ukitegemea Hadi mwakani (2023) tar na mwezi uliyo renew ndio ita-expire!!
La haula!! Mfumo unasema leseni yako ety mwisho wa matumizi ni 31/12/2022 December
Haijalishi ulilipia tar ngapi mwez wa ngapi...

Uanze process upyaaaaaaaa,
Za kulipia,la sivyo utakuwa hauna vigezo vya kufanya kazi au kuajiriwa


Najua Kodi ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa Leo,
Lakini kwa namna hii.....
#hapana

Naomba kuwasilisha hoja
 
Ulishawahi kumuona kipofu barabarani akikosea njia,na pembeni kuna mtu mzima wa kumsaidia,lakini Cha ajabu badala ya kutoa msaada anasepa akijisemea Moyoni yupo mwingine atakayekuja kumsaidia!!

.....najua kila ck watu wanalalamika,na wahusika wanaona malalamiko kila ck!! Ila wanasubiri Hadi wahusika wakuuu waje kusema ,ndo nao waanze kuchukua hatua

Leo hii mtoto wako yule aliyesomea nursing au lab amesoma kwa shida sana na amefata sheria na vigezo,uck kucha kajipinda aje kupata matokeo mazuri! Mungu si asumani lakini amefanya vizuri,Ila Cha ajabu huko kufaulu kwake na kusoma kwake hakuna tena maana na hawezi kuajiriwa,Hadi afanye mtihani mwingine WA Leseni na alipie!! Na yabidi apambane tena afaulu...la sivyo atabaki mtaani kama wenzake ambao hawajasoma kabisa!!

Cjajua,huu mitaala wa ma vyuoni kwa hizi fact inatungwa na akina nani?? Hadi mtoto anafaulu
Na hii mitihani ya leseni pia nayo inatungwa nani?? Ambapo mtu akifeli asiwe na kibali na haki ya kufanya kazi hata kama ana cheti Cha ufaulu....!!

Kama ni muhimu sana,kwanini wasiweke km somo ktk masomo,ili mtu akifaulu mara moja ijulikane amefaulu!!

Yote Tisa,
Daktari Umekaa mtaani miaka 4 bila kazi,
Then ghafla Linatoka Tangazo la kazi,na kigezo kimojawapo uwe na leseni valid, (namaanisha leseni ya kazi )

Unataka ku renew leseni yako alimradi ufanye application! Japo ubahatishe kama unaweza pata kazi....Cha ajabu system inataka kuwa kama unataka ku renew leseni yako au upate leseni Mpya basi ulipie miaka yoote hiyo Toka ulipomaliza chuo! Yani kila mwaka yabidi uulipie,haijalishi umefanya kazi au la,haijalishi ulikuwa unauza vitumbua,ulikuwa unaumwa,Au ulikaa Nyumbani ttttu

Haya unalipia leseni yako mwezi wa kumi 2022 ambayo ni ya mwaka mzima ukitegemea Hadi mwakani (2023) tar na mwezi uliyo renew ndio ita-expire!!
La haula!! Mfumo unasema leseni yako ety mwisho wa matumizi ni 31/12/2022 December
Haijalishi ulilipia tar ngapi mwez wa ngapi...

Uanze process upyaaaaaaaa,
Za kulipia,la sivyo utakuwa hauna vigezo vya kufanya kazi au kuajiriwa


Najua Kodi ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa Leo,
Lakini kwa namna hii.....
#hapana

Naomba kuwasilisha hoja
Wakati mwingine huwa nawaona Wa-TZ wasaliti hasa wale waliopata connection ya kazi nnje ya nchi na kuhamia huko mazima kimaisha kumbe huwa wako sahihi.

Nchi ngumu sana hii Chifu...[emoji124]
 
wale waliopata connection ya kazi nnje ya nchi na kuhamia huko mazima kimaisha kumbe huwa wako sahihi
Kuna mwamba alipata kazi Qatar 2010 hadi kufika 2022 kawahamisha ndugu zake wote hadi mama yake mzazi wote wamehamia huko, na sasa anaishi maisha yale aliyokua akiyaota ndotoni
 
Tanzania ni Nchi ngumu sheria nyingi zipo kuwakandamiza wazawa hasa waliopata Elimu na ili wasiajiriwe ili wabaki wachache hata wakiwa Wazee umri wa kupumzika wamewawekea vipengele vya Leseni kila sehemu hiyo ni Pin number sio kwamba pana ubora wowote unaangaliwa hapo ndio maana Mtu akiwa anafanya kazi Tanzania hasa za kuajiriwa Serikalini anajiona ana uhakika sana hata kama mshahara utakua mdogo ataweza kuishi kwa magumashi na vikao feki vya Malipo...wakati wenzetu wamerahisisha utakachochagua wewe ndio kitakutoa iwe Elimu au kitu kingine...
 
Ulishawahi kumuona kipofu barabarani akikosea njia,na pembeni kuna mtu mzima wa kumsaidia,lakini Cha ajabu badala ya kutoa msaada anasepa akijisemea Moyoni yupo mwingine atakayekuja kumsaidia!!

.....najua kila ck watu wanalalamika,na wahusika wanaona malalamiko kila ck!! Ila wanasubiri Hadi wahusika wakuuu waje kusema ,ndo nao waanze kuchukua hatua

Leo hii mtoto wako yule aliyesomea nursing au lab amesoma kwa shida sana na amefata sheria na vigezo,uck kucha kajipinda aje kupata matokeo mazuri! Mungu si asumani lakini amefanya vizuri,Ila Cha ajabu huko kufaulu kwake na kusoma kwake hakuna tena maana na hawezi kuajiriwa,Hadi afanye mtihani mwingine WA Leseni na alipie!! Na yabidi apambane tena afaulu...la sivyo atabaki mtaani kama wenzake ambao hawajasoma kabisa!!

Cjajua,huu mitaala wa ma vyuoni kwa hizi fact inatungwa na akina nani?? Hadi mtoto anafaulu
Na hii mitihani ya leseni pia nayo inatungwa nani?? Ambapo mtu akifeli asiwe na kibali na haki ya kufanya kazi hata kama ana cheti Cha ufaulu....!!

Kama ni muhimu sana,kwanini wasiweke km somo ktk masomo,ili mtu akifaulu mara moja ijulikane amefaulu!!

Yote Tisa,
Daktari Umekaa mtaani miaka 4 bila kazi,
Then ghafla Linatoka Tangazo la kazi,na kigezo kimojawapo uwe na leseni valid, (namaanisha leseni ya kazi )

Unataka ku renew leseni yako alimradi ufanye application! Japo ubahatishe kama unaweza pata kazi....Cha ajabu system inataka kuwa kama unataka ku renew leseni yako au upate leseni Mpya basi ulipie miaka yoote hiyo Toka ulipomaliza chuo! Yani kila mwaka yabidi uulipie,haijalishi umefanya kazi au la,haijalishi ulikuwa unauza vitumbua,ulikuwa unaumwa,Au ulikaa Nyumbani ttttu

Haya unalipia leseni yako mwezi wa kumi 2022 ambayo ni ya mwaka mzima ukitegemea Hadi mwakani (2023) tar na mwezi uliyo renew ndio ita-expire!!
La haula!! Mfumo unasema leseni yako ety mwisho wa matumizi ni 31/12/2022 December
Haijalishi ulilipia tar ngapi mwez wa ngapi...

Uanze process upyaaaaaaaa,
Za kulipia,la sivyo utakuwa hauna vigezo vya kufanya kazi au kuajiriwa


Najua Kodi ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa Leo,
Lakini kwa namna hii.....
#hapana

Naomba kuwasilisha hoja
Hii nchi ni ya kiduanzi sana. Inafanya maisha yawe magumu sana kila siku
 
Back
Top Bottom