Mfumo wetu wa Elimu utakuwa na manufaa miaka 50 ijayo?

Mfumo wetu wa Elimu utakuwa na manufaa miaka 50 ijayo?

Changer 22

Member
Joined
Jul 29, 2022
Posts
11
Reaction score
5
Nianze kwa kusema naipongeza serikali kwa juhudi kubwa iliyoiweka katika utengenezaji was miundombinu mizuri hasa madarasa pamoja na kuweka mikopo Kwa wanafunzi wa Elimu ya juu.

Swali linabaki Moja je, uwekezaji huu wa serikali kwenye Elimu utawezesha vijana kuwa na fikra chanya juu ya maendeleo nchi baada ya miaka 50 ijayo au Bado Serikali itaendelea kuzalisha tegemezi?
 
Wadau wa elimu wanatakiwa wake chini watengeneze mfumo wa elimu unaoendana na market na changes in technology. .

Ila Kila kukicha wanataka katiba mpya wakati hawapazi sauti kwenyea elimu, nayo inahitaji mitaala mipya. .
 
Wadau wa elimu wanatakiwa wake chini watengeneze mfumo wa elimu unaoendana na market na changes in technology. .

Ila Kila kukicha wanataka katiba mpya wakati hawapazi sauti kwenyea elimu, nayo inahitaji mitaala mipya. .
Bado Kuna hitajika nguvu kubwa ya mabadiliko. Vijana ndio sisi ambao Kwa hiyo miaka 50 ijayo tutakuwepo/ hatutakuwepo kushuhudia vitukuu vyetu vikiteseka na mfumo mbovu wa Elimu.
 
Bado Kuna hitajika nguvu kubwa ya mabadiliko. Vijana ndio sisi ambao Kwa hiyo miaka 50 ijayo tutakuwepo/ hatutakuwepo kushuhudia vitukuu vyetu vikiteseka na mfumo mbovu wa Elimu.
Kweli ni mda sasa wa kufanya mabadiliko makubwa kielimu
 
Back
Top Bottom