Tuttie
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,263
- 1,304
🤣🤣jamanHichd hfsgj taa hfs na bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣jamanHichd hfsgj taa hfs na bado.
Nikiwahi kumsikia JPM kuwa chaguo lake la mgombea mwenza ilikuwa Hussein Mwinyi lakin deep state walikataa wakapendekeza SSHNyumisi, wakati unachagua wa kumpigia kura huwa humpimi mgombea mwenza/msaidizi?
Maana yeye uliyemchagua anachagua mtu ambaye ikitokea hayupo basi anaamini atamalizia kazi yake vizuri. JPM mara mbili zote aliamua kwenda na Samia.
Mfano, mgombea akasimama na mgombea mwenza shoga utampa kura?
Katiba mpya itapatikana tu hakuna shaka. Ni suala la muda.
Mawazo ya fukaraHii ndio point,
Mzee alikuwa commited kukontrol ujinga ujinga lakin mapuuzi yaliolaaniwa yanamponda, ilikuwa watu wanahodhi dola ili zipande bei akawajua akabana mwanya, kila penye inflation akabana mwanya, sasa wameingia furahieni show....na bado nishati ya umeme mtakuja shuhudia matukio heavy.
Uzuri wote tunaguswa na matokeo
Sent using Jamii Forums mobile app