Hii ndio point,
Mzee alikuwa commited kukontrol ujinga ujinga lakin mapuuzi yaliolaaniwa yanamponda, ilikuwa watu wanahodhi dola ili zipande bei akawajua akabana mwanya, kila penye inflation akabana mwanya, sasa wameingia furahieni show....na bado nishati ya umeme mtakuja shuhudia matukio heavy.
Uzuri wote tunaguswa na matokeo
Sent using
Jamii Forums mobile app