mpaka unamwagika na sasahivi sio chattle tena ni kizimkazi Festival.Si anaupiga mwingi?
Figure zilisoma mamilioniNiliita fundi wa wiring ikabidi nimwambie nenda nitakuita tena
Hivi ni visingizio vya kijinga sanaKupanda kwa vifaa hasa vya ujenzi haikwepeki maana vingi tunaagiza kutoka nje, January 2024 dola ilikuwa inachezea 2,400 sasa hivi mwezi wa nane inachezea 2,750 ......
2ml na hata sikuwaza hicho kitu maana nilichora TU michoroFigure zilisoma mamilioni
Tupe vya kwako vyenye akili wa mburula wa nyinyiemu....Hivi ni visingizio vya kijinga sana
Ofisini kwangu nilikua nataka kupiga wiring ili kusambaza umeme sehemu za mapokezi,chooni na chumba cha huduma. Fundi alinishauri tukanunue kwa bei ya jumla tukaenda wote huko madukani huwezi amini bajeti tulipanga laki 2 nikatumia laki 3.5+ .Niliita fundi wa wiring ikabidi nimwambie nenda nitakuita tena
Na ni ofisini imagine nyumba vyumba 4 na vibaraza vyakeOfisini kwangu nilikua nataka kupiga wiring ili kusambaza umeme sehemu za mapokezi,chooni na chumba cha huduma. Fundi alinishauri tukanunue kwa bei ya jumla tukaenda wote huko madukani huwezi amini bajeti tulipanga laki 2 nikatumia laki 3.5+ .
Aisee ile siku nilikua nasonya kishenzi na hapo vifaa nilinunua kampuni mseto ningeweka tronic tupu ingegonga laki 4 huko na upuuziNa ni ofisini imagine nyumba vyumba 4 na vibaraza vyake
Mkuu sasa ukija kwenye biashara ndo utakimbia hizo kodi walahy kama huna moyo mgumu lazima urudishe jengo la watu.Mi nilishangazwa sana kuona mpaka pipi kifua inauzwa shilingi mia. Yani kwamba ukiwa na hamsini saivi hupati hata pipi. Hii ni hatari. Shilingi mia tano tunapoelekea itageuka kua kama shilingi mia