USA Mfumuko wa bei ulikuwa 2.2% kabla ya Corana sasa ni 8.3% hili sio tatizo la Tanzania pekee. Bei ya Chakula imepanda kwa takribani 40% kuanzia nyama, maziwa, mafuta hata hapa kwa wachimbaji Texas in $4.25 kwa Lita 3.7 au gallon moja.
Hivyo ni lazima tujue hili sio tatizo la Tanzania pekee karibu nchi zote kuna mfumuko wa bei kwa sasa.
www.cnbc.com
Hivyo ni lazima tujue hili sio tatizo la Tanzania pekee karibu nchi zote kuna mfumuko wa bei kwa sasa.
Nasdaq drops 3%, Dow loses 300 points following hot inflation report
April's consumer price index showed an 8.3% jump, higher than the 8.1% increase expected by economists polled by Dow Jones.