Mfumuko wa bei ni tatizo la Mataifa yote sio Tanzania pekee

Mfumuko wa bei ni tatizo la Mataifa yote sio Tanzania pekee

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
USA Mfumuko wa bei ulikuwa 2.2% kabla ya Corana sasa ni 8.3% hili sio tatizo la Tanzania pekee. Bei ya Chakula imepanda kwa takribani 40% kuanzia nyama, maziwa, mafuta hata hapa kwa wachimbaji Texas in $4.25 kwa Lita 3.7 au gallon moja.

Hivyo ni lazima tujue hili sio tatizo la Tanzania pekee karibu nchi zote kuna mfumuko wa bei kwa sasa.

 
Back
Top Bottom