Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Shaka anazungumza kwa uwazi kwamba Mwenyekiti wa CCM Taifa ameifungua nchi.
Anazunguka duniani kuipaisha Tanzania.
Ziara za Rais zimetuzawadia deni la Taifa kufikia Trillion 71+ mpaka sasa.
Shaka anataja mafanikio mengi yatokanayo na utekelezwaji wa ilani ya CCM.
Sasa hivi bidhaa muhimu hazishikiki sokoni. Bei imepanda na inaendelea kupanda maradufu.
Je, hili la mfumuko wa bei ni utekelezaji wa ilani ya CCM?
Uoga wetu
Anazunguka duniani kuipaisha Tanzania.
Ziara za Rais zimetuzawadia deni la Taifa kufikia Trillion 71+ mpaka sasa.
Shaka anataja mafanikio mengi yatokanayo na utekelezwaji wa ilani ya CCM.
Sasa hivi bidhaa muhimu hazishikiki sokoni. Bei imepanda na inaendelea kupanda maradufu.
Je, hili la mfumuko wa bei ni utekelezaji wa ilani ya CCM?
Uoga wetu