Mfumuko wa bei ni utekelezaji wa ilani ya CCM?

Mfumuko wa bei ni utekelezaji wa ilani ya CCM?

Wamefikia ukomo namna ya kuongoza kwa ueledi kilichobaki kwao ni mipango ya kuendelea kutawala .

Hawana jipya mbaya zaidi na sisi wananchi tumekuwa kama makalia yanayotumiwa na mafundi kwenye ujenzi ,fundi akimaliza kazi hana habali nalo.

Yaani tupotupo wenye utambuzi na wenyewe wamekubwa ni woga tena uwoga kwelikweli. Hatujui hatma itakuwaje,maana nionavyo mimi nafikili labda mkazo waongeze .

Kila kitu gharama zake ziongezeke mara mbili Ili utayari wa kusema hapana uwepo kwetu sote na kama kuandamana kushinkiza kiongozi fulani awajibike wataweza maana watakuwa hawana namna
Tatizo simba na Yanga
 
Hili deni mmeanza kumtwisha Samia?
Aliekopa hela nyinyi kimyaa kimyaa hamumjui?Samia ndo kaleta deni la trilioni 71?...hamnaga aibu mkiamua kumchafua mtu?
Japo issue hapa ni kupanda kwa gharama za maisha na sio tu deni la taifa,
Ngoja nikusaidie kidogo.

Unajua ndani ya mwaka mmoja zimekopwa bei gani, na bei gni zaidi ya kilichopitishwa na bunge?
Imepitishwa 10tr
Imekopwa 15.9tr
Kilichozidi kinakwenda kwenye miradi ipi ambayo bunge halijaidhinisha kuikopea?
 
Japo issue hapa ni kupanda kwa gharama za maisha na sio tu deni la taifa,
Ngoja nikusaidie kidogo.

Unajua ndani ya mwaka mmoja zimekopwa bei gani, na bei gni zaidi ya kilichopitishwa na bunge?
Imepitishwa 10tr
Imekopwa 15.9tr
Kilichozidi kinakwenda kwenye miradi ipi ambayo bunge halijaidhinisha kuikopea?

Why unakuwa taken na hoja dhaifu Kama hizi?
Kama mwaka mmoja tumekopa kwa Bunge kuidhibisha...
Je miaka mitano iliyopita kabla tulikuwa tunakopa Kwa idhini ya Nani?
Why Wale waliokuwa Wana support awamu iliyokopa bila kikomo Leo ndo wanakumbuka kuwa kuna Bunge ?
Double standards hizi tuzikubali Kwa nini?
 
Nchi hi tatizo sio mifumo, tatizo Ni uzwazwa wa baadhi ya watu wanaojifanya kujua na kuhamishia mashambulizi ya wahujumu uchumi kwenye social media

Suala la kupambana na rushwa na ubadhilifu wa mali za umma Ni jukumu la kila mtu kwa uwazi mkubwa. Km unaona una evidence za kutosha kwa wapigaji peleka kwenye vyombo vinavyohusika ili hyo mtu achukuliwe hatua. Kusema sema tu humu hakutasaidia kitu
 
Shaka anazungumza kwa uwazi kwamba Mwenyekiti wa CCM Taifa ameifungua nchi.
Anazunguka duniani kuipaisha Tanzania.

Ziara za Rais zimetuzawadia deni la Taifa kufikia Trillion 71+ mpaka sasa.

Shaka anataja mafanikio mengi yatokanayo na utekelezwaji wa ilani ya CCM.

Sasa hivi bidhaa muhimu hazishikiki sokoni. Bei imepanda na inaendelea kupanda maradufu.

Je, hili la mfumuko wa bei ni utekelezaji wa ilani ya CCM?

Uoga wetu
Hamieni ambako Hakuna mfumuko wa Bei msituchoshe.
 
Why unakuwa taken na hoja dhaifu Kama hizi?
Kama mwaka mmoja tumekopa kwa Bunge kuidhibisha...
Je miaka mitano iliyopita kabla tulikuwa tunakopa Kwa idhini ya Nani?
Why Wale waliokuwa Wana support awamu iliyokopa bila kikomo Leo ndo wanakumbuka kuwa kuna Bunge ?
Double standards hizi tuzikubali Kwa nini?
Grow up dude
Kwani miaka mitano iliyopita rais alitoka UKAWA?

Kuendelea kukopa na kuongeza deni la taifa lengo ni kumkomoa nani?

Tangu awamu hii iingie tumefanya exports za kiwango gani kinachoakisi uwezo wa kukopa zaidi?

Hayo matrillion yanayotajwa mbona tunaoneshwa miradi iliyofanywa na awamu zilizopita kana kwamba zimefanywa leo?

Mkuu uweke umakini kwenye kutafakari jambo maana una majibu mepesi kwa hoja nzito
 
Nchi hi tatizo sio mifumo, tatizo Ni uzwazwa wa baadhi ya watu wanaojifanya kujua na kuhamishia mashambulizi ya wahujumu uchumi kwenye social media

Suala la kupambana na rushwa na ubadhilifu wa mali za umma Ni jukumu la kila mtu kwa uwazi mkubwa. Km unaona una evidence za kutosha kwa wapigaji peleka kwenye vyombo vinavyohusika ili hyo mtu achukuliwe hatua. Kusema sema tu humu hakutasaidia kitu
Mimi na wewe tunajua kabisa mfumo uliopo hauruhusu kukosolewa na endapo utajitokeza wazi wazi jiandae kuishi kama shetani.

Mfumo unaolinda na kutetea wahalifu usiutegemee kusimama na wewe kwenye kuwashughulikia wezi na mafisadi.

Plea bargain kila mtu ameona ujambazi uliofanyika na wahusika wameongezewa vyeo.

Kesi ya Mbowe imetufungua macho kuhusu ukatili uliofanywa na mpaka leo Moses Linje hajulikani alipo. Lakini msimamizi wa operesheni hiyo amepandishwa cheo.

So to say
 
Back
Top Bottom