Watanzania wamemezeshwa viza la kuhofia wasioyajua.Wameshashindwa kuongoza nchi hawa viumbe...wamebaki wanapiga tu propaganda
Twende taratibu, per year average za yule wa kimya kimya ngapi na mama zake ngapi...Hili deni mmeanza kumtwisha Samia?
Aliekopa hela nyinyi kimyaa kimyaa hamumjui?Samia ndo kaleta deni la trilioni 71?...hamnaga aibu mkiamua kumchafua mtu?
CM 1774858Mkuu Lucas Mwashambwa kuna hoja huku jukwaani inakuhusu ya propaganda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka mmoja tu SSH na serikali ya wanekopa trion 15 na point, WEKA mapato ya ndani ya vyanzo vyote ,Pamoja na Tozo, misaada MBALIMBALI, hizi pesa mmefanyia nini?CCM ndo imeleta hilo deni
Ukifikiria sana utakuwa kichaaMwaka mmoja tu SSH na serikali ya wanekopa trion 15 na point, WEKA mapato ya ndani ya vyanzo vyote ,Pamoja na Tozo, misaada MBALIMBALI, hizi pesa mmefanyia nini?
Untill they make it they will never be happyLaana ya kuwanyima wananchi haki yao ya katiba mpya haiwezi kuwa Acha salama!! Ccm
Time will tell.
Sent using Jamii Forums mobile app
MnoooCCM ni janga la Taifa.