Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Kiwango cha Bei ya Watumiaji (CPI) kimeongezeka kwa asilimia 1.1 mnamo Novemba nchini Ujerumani.
Kulingana na data ya Takwimu ya Shirikisho la Ujerumani (Destatis), mfumko wa bei nchini umeongezeka kwa asilimia 1.1 mnamo Novemba ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana mwezi Oktoba. Matarajio yalikuwa kuongeza mfumuko wa bei kwa asilimia 1.3.
Kushuka kwa bei ya nishati kwa kiwango cha asilimia 3.7 kumechangia kudhibiti mfumuko wa bei mnamo Novemba, wakati mfumko wa bei wa kila mwaka ukionekana kutofikia lengo la Benki Kuu ya Ulaya la asilimia 2.
Mfumuko wa bei nchini umepungua kwa asilimia 0.8 licha ya matarajio ya kupungua kwa asilimia 0.6 kila mwezi.
Kulingana na data ya Takwimu ya Shirikisho la Ujerumani (Destatis), mfumko wa bei nchini umeongezeka kwa asilimia 1.1 mnamo Novemba ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana mwezi Oktoba. Matarajio yalikuwa kuongeza mfumuko wa bei kwa asilimia 1.3.
Kushuka kwa bei ya nishati kwa kiwango cha asilimia 3.7 kumechangia kudhibiti mfumuko wa bei mnamo Novemba, wakati mfumko wa bei wa kila mwaka ukionekana kutofikia lengo la Benki Kuu ya Ulaya la asilimia 2.
Mfumuko wa bei nchini umepungua kwa asilimia 0.8 licha ya matarajio ya kupungua kwa asilimia 0.6 kila mwezi.