Mfumuko wa bei wawafukuza wafanyabiashara wa kigeni Kariakoo, wasema wanapata hasara

Mfumuko wa bei wawafukuza wafanyabiashara wa kigeni Kariakoo, wasema wanapata hasara

Mwaka Mpya wa China umewakutanisha Wachina na kufanya tathmini juu ya mfumuko wa bei Tanzania.

Wachina wauza mashuka, mataulo, mapazia, chupa za maji, vyombo vya Udongo, maua, chupi, chupa za chai na vyandarua wamesema bei wanazouza sasa zinawapa hasara kubwa sababu dola imepanda thamani maradufu dhidi ya shilingi ya Tanzania.

Dola Leo pale Kariakoo ni 2850 miaka nyuma wakati wa Magufuli, wao walinunua Dola 1 sawa na shilingi 2,180 hadi 2,200 mfumuko huo wa bei unawalazimisha wao kupandisha bei za bidhaa zao na kufanya soko kuwa gumu kwa kukosa wateja.

Kuna bidhaa kama chandarua wanayouza sh 6,000 kwa bei ya jumla kupandisha hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inawawia vigumu wafanyabiashara wa rejareja waliozoea kununua kwa 6,000 na kuuza kwa 10,000 kama watanunua 10,000 kwa jumla itabidi wauze 14,000 kwa rejareja.

Wafanyabiashara wa chupa za maji wanazouza chupa moja kwa sh 6,000 kwa bei ya jumla itawabidi wapandishe hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inakuwa ngumu kwa mfanyabiashara wa rejareja ataenunua chupa moja ya maji kwa sh 10,000 itamlazimu kuuza sh 14,000 kwa bei ya rejareja.

Biashara inakuwa ngumu kwa wauzaji wa jumla na rejareja sababu ya Dola kupanda bei, ukihitaji Dola laki Moja kuagiza mzigo,itabidi 100,000×2850=285,000,000 itakulazimu uwe na Milioni mia mbili themanini na tano wakati miaka mitano nyuma ilikuwa 100,000×2180=218,000,000 sasa kuna hasara ya 285,000,000-218,000,000=67,000,000 mfanyabiashara anapata hasara ya sh milioni 67,000,000 akipata hasara kwa miaka mitano itamlazimu kurudi kwao China.
Inflation rate sio Tanzania tu ni regional Kenya shilling iko vibaya zaidi na ya kwetu. Hapa tatizo ni la mda mrefu lilianzishwa na Magufuli kwa kuanzisha mega long term project amnazo zinachukua foreign exchange zetu hazina, JPM hakua na mpangilio ya mamba madhara take nado haya, kwa Kenya ni fifferent story wako kwenye political war.
 
Labda uko kariakoo ya Manzese
Nitajie hivyo vitu vilivyopanda bei, bei ya zamani na bei ya sasa, vitu vingi alivyotaja mleta mada actual vimeshuka bei, ni field yangu hio na na deal na kusupply maduka mengi. Ya mikoani. Kama hivyo vyandarua ndio vimeshuka bei vibaya mno.
 
Mwaka Mpya wa China umewakutanisha Wachina na kufanya tathmini juu ya mfumuko wa bei Tanzania.

Wachina wauza mashuka, mataulo, mapazia, chupa za maji, vyombo vya Udongo, maua, chupi, chupa za chai na vyandarua wamesema bei wanazouza sasa zinawapa hasara kubwa sababu dola imepanda thamani maradufu dhidi ya shilingi ya Tanzania.

Dola Leo pale Kariakoo ni 2850 miaka nyuma wakati wa Magufuli, wao walinunua Dola 1 sawa na shilingi 2,180 hadi 2,200 mfumuko huo wa bei unawalazimisha wao kupandisha bei za bidhaa zao na kufanya soko kuwa gumu kwa kukosa wateja.

Kuna bidhaa kama chandarua wanayouza sh 6,000 kwa bei ya jumla kupandisha hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inawawia vigumu wafanyabiashara wa rejareja waliozoea kununua kwa 6,000 na kuuza kwa 10,000 kama watanunua 10,000 kwa jumla itabidi wauze 14,000 kwa rejareja.

Wafanyabiashara wa chupa za maji wanazouza chupa moja kwa sh 6,000 kwa bei ya jumla itawabidi wapandishe hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inakuwa ngumu kwa mfanyabiashara wa rejareja ataenunua chupa moja ya maji kwa sh 10,000 itamlazimu kuuza sh 14,000 kwa bei ya rejareja.

Biashara inakuwa ngumu kwa wauzaji wa jumla na rejareja sababu ya Dola kupanda bei, ukihitaji Dola laki Moja kuagiza mzigo,itabidi 100,000×2850=285,000,000 itakulazimu uwe na Milioni mia mbili themanini na tano wakati miaka mitano nyuma ilikuwa 100,000×2180=218,000,000 sasa kuna hasara ya 285,000,000-218,000,000=67,000,000 mfanyabiashara anapata hasara ya sh milioni 67,000,000 akipata hasara kwa miaka mitano itamlazimu kurudi kwao China.
Nani kama Mama!
Mama amefungua nchi!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwaka Mpya wa China umewakutanisha Wachina na kufanya tathmini juu ya mfumuko wa bei Tanzania.

Wachina wauza mashuka, mataulo, mapazia, chupa za maji, vyombo vya Udongo, maua, chupi, chupa za chai na vyandarua wamesema bei wanazouza sasa zinawapa hasara kubwa sababu dola imepanda thamani maradufu dhidi ya shilingi ya Tanzania.

Dola Leo pale Kariakoo ni 2850 miaka nyuma wakati wa Magufuli, wao walinunua Dola 1 sawa na shilingi 2,180 hadi 2,200 mfumuko huo wa bei unawalazimisha wao kupandisha bei za bidhaa zao na kufanya soko kuwa gumu kwa kukosa wateja.

Kuna bidhaa kama chandarua wanayouza sh 6,000 kwa bei ya jumla kupandisha hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inawawia vigumu wafanyabiashara wa rejareja waliozoea kununua kwa 6,000 na kuuza kwa 10,000 kama watanunua 10,000 kwa jumla itabidi wauze 14,000 kwa rejareja.

Wafanyabiashara wa chupa za maji wanazouza chupa moja kwa sh 6,000 kwa bei ya jumla itawabidi wapandishe hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inakuwa ngumu kwa mfanyabiashara wa rejareja ataenunua chupa moja ya maji kwa sh 10,000 itamlazimu kuuza sh 14,000 kwa bei ya rejareja.

Biashara inakuwa ngumu kwa wauzaji wa jumla na rejareja sababu ya Dola kupanda bei, ukihitaji Dola laki Moja kuagiza mzigo,itabidi 100,000×2850=285,000,000 itakulazimu uwe na Milioni mia mbili themanini na tano wakati miaka mitano nyuma ilikuwa 100,000×2180=218,000,000 sasa kuna hasara ya 285,000,000-218,000,000=67,000,000 mfanyabiashara anapata hasara ya sh milioni 67,000,000 akipata hasara kwa miaka mitano itamlazimu kurudi kwao China.
Uchumi wa fremu!
 
Inflation rate sio Tanzania tu ni regional Kenya shilling iko vibaya zaidi na ya kwetu. Hapa tatizo ni la mda mrefu lilianzishwa na Magufuli kwa kuanzisha mega long term project amnazo zinachukua foreign exchange zetu hazina, JPM hakua na mpangilio ya mamba madhara take nado haya, kwa Kenya ni fifferent story wako kwenye political war.
Umesema tatizo ni regional halafu unasema tena tatizo ni Magufuli,mbona hautulii!?
 
Nitajie hivyo vitu vilivyopanda bei, bei ya zamani na bei ya sasa, vitu vingi alivyotaja mleta mada actual vimeshuka bei, ni field yangu hio na na deal na kusupply maduka mengi. Ya mikoani. Kama hivyo vyandarua ndio vimeshuka bei vibaya mno.
Wachina wanafungua viwanda jumatatu,sasa sikilizia maumivu ya bei za bidhaa zitazoanza kutengenezwa kesho,chandarua ni bidhaa ya msimu wa mvua,ambapo kuna mbu wengi.
 
Mi nimeanza Biashara Wakati wa Magu, fremu nilichagua kariakoo kulikua kutupu, Jengo zima fremu kibao zilikua hazina Watu na ni katikati ya kariakoo, msifieni Magu kadri mnavyoweza ila jamaa hajui biashara,

Sasa hivi kariakoo hupati frame katikati bila kumtoa mtu na kilemba, vifremu vidogo ndio milioni 2, frame za maana zinaanzia milioni 3.

Watu wanavunja Maghorofa, unakuta Ghorofa 6 ama 7 inashushwa chini sababu tu frame hazijaanzia Basement, kinajengwa kitu kipya.

Wengi mnaoongea Biashara hata hampo Kariakoo.
Mama anaupiga mwingi sana watu wana hela na ghorofa zinavunjwa na kujengwa upya,watu wana hela sana.
 
Mwaka Mpya wa China umewakutanisha Wachina na kufanya tathmini juu ya mfumuko wa bei Tanzania.

Wachina wauza mashuka, mataulo, mapazia, chupa za maji, vyombo vya Udongo, maua, chupi, chupa za chai na vyandarua wamesema bei wanazouza sasa zinawapa hasara kubwa sababu dola imepanda thamani maradufu dhidi ya shilingi ya Tanzania.

Dola Leo pale Kariakoo ni 2850 miaka nyuma wakati wa Magufuli, wao walinunua Dola 1 sawa na shilingi 2,180 hadi 2,200 mfumuko huo wa bei unawalazimisha wao kupandisha bei za bidhaa zao na kufanya soko kuwa gumu kwa kukosa wateja.

Kuna bidhaa kama chandarua wanayouza sh 6,000 kwa bei ya jumla kupandisha hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inawawia vigumu wafanyabiashara wa rejareja waliozoea kununua kwa 6,000 na kuuza kwa 10,000 kama watanunua 10,000 kwa jumla itabidi wauze 14,000 kwa rejareja.

Wafanyabiashara wa chupa za maji wanazouza chupa moja kwa sh 6,000 kwa bei ya jumla itawabidi wapandishe hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inakuwa ngumu kwa mfanyabiashara wa rejareja ataenunua chupa moja ya maji kwa sh 10,000 itamlazimu kuuza sh 14,000 kwa bei ya rejareja.

Biashara inakuwa ngumu kwa wauzaji wa jumla na rejareja sababu ya Dola kupanda bei, ukihitaji Dola laki Moja kuagiza mzigo,itabidi 100,000×2850=285,000,000 itakulazimu uwe na Milioni mia mbili themanini na tano wakati miaka mitano nyuma ilikuwa 100,000×2180=218,000,000 sasa kuna hasara ya 285,000,000-218,000,000=67,000,000 mfanyabiashara anapata hasara ya sh milioni 67,000,000 akipata hasara kwa miaka mitano itamlazimu kurudi kwao China.
Conversion rate for United States Dollar to Tanzanian Shilling United States Dollar to Tanzanian Shilling - Google Suche

Exchange rate haijafika huko 2,800 bali ni 2,570
 
Wachina wanafungua viwanda jumatatu,sasa sikilizia maumivu ya bei za bidhaa zitazoanza kutengenezwa kesho,chandarua ni bidhaa ya msimu wa mvua,ambapo kuna mbu wengi.
Kamba tu hizi, na unavyoshadadia wachina wakati asilimia kubwa ya wanaoleta vyandarua sio wachina inaonesha kabisa huna unalojua,
 
Wanahamia Ubungo
Wafanyabiashara wengi wa kariakoo wanahofia kuhamia ubungo.

Huo mradi ni kama bahati nasibu tu,

Mpaka kusimama na kushindana na kariakoo sio leo.

Itachukua miaka mingi sana.
 
Mi nimeanza Biashara Wakati wa Magu, fremu nilichagua kariakoo kulikua kutupu, Jengo zima fremu kibao zilikua hazina Watu na ni katikati ya kariakoo, msifieni Magu kadri mnavyoweza ila jamaa hajui biashara,

Sasa hivi kariakoo hupati frame katikati bila kumtoa mtu na kilemba, vifremu vidogo ndio milioni 2, frame za maana zinaanzia milioni 3.

Watu wanavunja Maghorofa, unakuta Ghorofa 6 ama 7 inashushwa chini sababu tu frame hazijaanzia Basement, kinajengwa kitu kipya.

Wengi mnaoongea Biashara hata hampo Kariakoo.
Wewe nae kipindi cha magufur kipindi cha corona watu waliachia frem wengi...umekuja kariakoo juzi unajiitia unajua ...
 
Wewe nae kipindi cha magufur kipindi cha corona watu waliachia frem wengi...umekuja kariakoo juzi unajiitia unajua ...
Kabla ya Korona, tatizo mnajitoa ufahamu tu, humu humu JF kuna Topic kibao zinazungumzia hilo.

Corona Inaitwa Covid 19 na Tz imepiga sana 2020 , Magu YUPO madarakani toka 2015, kuanzia 2015 yenyewe biashara ilianza kudorora, around 2016 frame za kuchagua zikaanza na mimi nilipata wakati huo.
 
Wafanyabiashara wengi wa kariakoo wanahofia kuhamia ubungo.

Huo mradi ni kama bahati nasibu tu,

Mpaka kusimama na kushindana na kariakoo sio leo.

Itachukua miaka mingi sana.
Kwanza Kkoo wachina sio wakubwa kihivyo kama watu wabavyofikiri, kuna wachina kibao wanapiga winga, ila sababu watu wanakariri wanajua wana mizigo.
 
Mwaka Mpya wa China umewakutanisha Wachina na kufanya tathmini juu ya mfumuko wa bei Tanzania.

Wachina wauza mashuka, mataulo, mapazia, chupa za maji, vyombo vya Udongo, maua, chupi, chupa za chai na vyandarua wamesema bei wanazouza sasa zinawapa hasara kubwa sababu dola imepanda thamani maradufu dhidi ya shilingi ya Tanzania.

Dola Leo pale Kariakoo ni 2850 miaka nyuma wakati wa Magufuli, wao walinunua Dola 1 sawa na shilingi 2,180 hadi 2,200 mfumuko huo wa bei unawalazimisha wao kupandisha bei za bidhaa zao na kufanya soko kuwa gumu kwa kukosa wateja.

Kuna bidhaa kama chandarua wanayouza sh 6,000 kwa bei ya jumla kupandisha hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inawawia vigumu wafanyabiashara wa rejareja waliozoea kununua kwa 6,000 na kuuza kwa 10,000 kama watanunua 10,000 kwa jumla itabidi wauze 14,000 kwa rejareja.

Wafanyabiashara wa chupa za maji wanazouza chupa moja kwa sh 6,000 kwa bei ya jumla itawabidi wapandishe hadi sh 10,000 kwa bei ya jumla, hii inakuwa ngumu kwa mfanyabiashara wa rejareja ataenunua chupa moja ya maji kwa sh 10,000 itamlazimu kuuza sh 14,000 kwa bei ya rejareja.

Biashara inakuwa ngumu kwa wauzaji wa jumla na rejareja sababu ya Dola kupanda bei, ukihitaji Dola laki Moja kuagiza mzigo,itabidi 100,000×2850=285,000,000 itakulazimu uwe na Milioni mia mbili themanini na tano wakati miaka mitano nyuma ilikuwa 100,000×2180=218,000,000 sasa kuna hasara ya 285,000,000-218,000,000=67,000,000 mfanyabiashara anapata hasara ya sh milioni 67,000,000 akipata hasara kwa miaka mitano itamlazimu kurudi kwao China.
Hujui maana ya neno maradufu! Maradufu maana yake ni mara mbili ama kwa kiingereza ni neno sawa na twice.
Sasa Dola 1 kupanda kutoka 2180 hadi 2850 siyo maradufu hiyo!
Jifunzeni mambo! Shule za kata ni nzuri lakini pia zimeleta changamoto sana!
Tuna wasomi hafifu sana ( half cooked)!
 
Biashara inakuwa ngumu kwa wauzaji wa jumla na rejareja sababu ya Dola kupanda bei, ukihitaji Dola laki Moja kuagiza mzigo,itabidi 100,000×2850=285,000,000 itakulazimu uwe na Milioni mia mbili themanini na tano wakati miaka mitano nyuma ilikuwa 100,000×2180=218,000,000 sasa kuna hasara ya 285,000,000-218,000,000=67,000,000 mfanyabiashara anapata hasara ya sh milioni 67,000,000 akipata hasara kwa miaka mitano itamlazimu kurudi kwao China
Hapa umeongea forex tupu. Iyo changes in foreign exchange ndivyo trader anavyopata faida yake. Nashukuru. Aliyekuwa na dola milioni moja akizotoa akauza saivi atapata faida marudufu I think. Pia akaingia Kenya akanunua shilingi yao baadaye ikiwa stable akaiuza anapata faida Tena. Yaani unanunua ng'ombe,mpunga ama mahindi Ni wewe kucheza ni wapi Kuna faida saivi
 
Back
Top Bottom