Mfungieni na Kaduguda aliyesema Mangungu hajawahi kuongoza hata Kata vinginevyo mtaonekana waoga

Mfungieni na Kaduguda aliyesema Mangungu hajawahi kuongoza hata Kata vinginevyo mtaonekana waoga

Mangungu ni hopeless. Ningekuwa Mo nisingekuwa tayari kufanya kazi na mtu asiye na vision
Hopeless ni wewe uliyemchagua .... Kama umeshindwa kufanya mahesabu ya 400m za Azizi ki, unatoa wapi uhalali wakumtukana Mangungu ambaye by professional ni Engineer!!. Pumbavu zako mhasibu uchawarwa... Bata waheed..... Mangungu ndio Simba na Simba ndio Mangungu 😅
 
Sawa nyie wajanja mnaendelea kunyamazisha mashabiki na wanachama kwa kutoa maoni yao, Mimi ningekuwa Dr.Mohamed ningekwenda mahakamani kuomba tafsiri ya kisheria ya ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inanipa uhuru WA kutoa maoni yangu, kutoa maoni ni inherent power.

Mbona Kaduguda kasema Kuna viongozi miongoni mwenu hata kata hajawahi kuongoza na hamjamfanya kitu?

Mbona CPA wa mchongo kamshambulia tajiri kinyume cha maadili ya uongozi hamjamchukulia hatua zozote.Yaani mtu kaitisha press has na kumshambulia mwekezaji halafu nyie mmechukulia poa tu.
Mimi asikna iliacha hoi pale ilipienda kushiriki michuano ambayo ilianzia hatua ya penalty
 
Back
Top Bottom