Mfungo wa Ramadhani katika Mji wa Harare Zimbabwe

Umeona ukarimu wa wahudumu wa Kikristu!
 
Ume overreact kwa kuhama hoteli utadhani waliku serve hiyo nguruwe kwa makusudi. Ulivyofanya kuhama hoteli siyo ustaarabu. Kwani huko Holiday Inn hawapiki nguruwe jikoni? Be practical and open-minded. Unaishi karne ya 21.
 
Ningependa kupewa elimu kupitia uzi wako kuwa uharamu wa kula nguruwe ni upi? Je, ukila nguruwe katika amri kumi za Mungu unakuwa umevunja ipi?
 
Mokaze,
Naam.


Unajua Sheikh,watu wengi hasa katika nchi za huko kusini ya Afrika ni walaji wakubwa wa Nguruwe, huwa wanashangaa sana wanaposikia kwamba kuna mtu hali nyama ya nguruwe.

Mimi nadhani ungechukua nafasi hiyo kuwafahamisha kwamba wewe ni Muislamu na kulingana na mafundisho ya Uislamu nguruwe ni haramu kuliwa kwa sababu nyama yake inayo madhara makubwa katika mwili wa binadamu, pi
Mokaze,
Naam.


Ungechukua nafasi hiyo kuwajulisha kwamba hata ndani ya Biblia Nyama ya nguruwe ni haramu kula.
 
Ningependa kupewa elimu kupitia uzi wako kuwa uharamu wa kula nguruwe ni upi? Je, ukila nguruwe katika amri kumi za Mungu unakuwa umevunja ipi?

Amri kumi za Mungu kwa mujibu wa Imani yako sio kila mtu anaamini hizo Amri

Yeye kwake Nguruwe ni haram kwa mujibu wa mafundisho anayoamini ambayo ni Qur an na si lazima wewe kuamini au kukubali
 
Ume overreact kwa kuhama hoteli utadhani waliku serve hiyo nguruwe kwa makusudi. Ulivyofanya kuhama hoteli siyo ustaarabu. Kwani huko Holiday Inn hawapiki nguruwe jikoni? Be practical and open-minded. Unaishi karne ya 21.
Ndjabu...
Hakika hawakunipa nguruwe kwa makusudi.
Nilihama kwa sababu walikuwa na nguruwe katika menu.

Hukumu ya nguruwe ni kuwa hata vyombo vinavyotumika
kupikia na kupakulia nguruwe huwa vimenasijika.

Njia salama kwangu ilikuwa ni kuhama hoteli.

Holiday Inn hapakuwa na nguruwe katika menu yao.

Ukiwa msafiri wa mara kwa mara vitu hivi unavijua na unajifunza
namna ya kuvishughulikia.

Nilikaa katika moja ya hotel Durban.
Durban hotel zote ziko beach wanaita Golden Mile.

Kwenye chai nilikuta nguruwe.
Sikuhama hoteli ila nilikuwa nakula restaurant ya jirani kwa Wahindi.

Huku ndiko kuwa, ''open minded,'' na ''practical.''
 
Mokaze,
Umesema maneno mazuri sana.
 
Nguruvi3,
Ushauri mwema.
Ahsante.
 
Mkuu acha uvivu wa kuandika, story yako is very intersting ila hujaimalizia.
 
hahahahahaaa
nafkir utakuwa uliomba namba ya simu ya yule binti. ukishafungulia unamwita lodge mwenyeji wako Binti mzungumze vizur amewezaje kupika chakula kizur vile ila tu akakosea kuweka Pork
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…