Transistor
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,061
- 1,637
"Wall and underground concealed conduit wiring"
Habari wakuu,
Ningependa kuelezea aina hii ya ufungaji umeme kwenye makazi,tofauti na ule wa kupitisha waya juu ya dari na ukuta.
Katika mfumu huu kiasi kikubwa cha wire zinapita katika ukuta na chini ya sakafu.
Mara nyingi upitishaji wa bomba(conduit) za kupitisha waya huwekwa kabla ya kupiga floor na plasta ya ukuta,vivo hivyo hata kama utatumia "armoured cable"
Mfumo huu unapunguza idadi ya waya zinazopita juu ya paa lako(darini),hivyo kupunguza asilimia za matatizo yanayopelekea moto kutokea sababu katika dari kuna material ambayo ni rahisi kukuza moto ukitokea,tofauti katika ardhi na ukuta.
FAIDA ZA MFUMO HUU
1.Zinapunguza uwezekano wa moto kutokea katika jengo kwasababu kama tatizo la umeme likitokea na waya zikaungua basi moto utakutana na mazingira ambayo hayaruhusu moto kusambaa (ukuta au ardhi)
3.Ni salama kulinganisha na mifumo mingine si rahisi kwa waya kuliwa na wanyama au wadudu.
HASARA
1.Ni gharama sababu unatumia bomba nyingi zaidi.
2.Unahitaji mtaalamu wa umeme ambaye mzoefu.
3.Ni mfumo usioruhusu maboresho(updates),kirahisi
4.Ni ngumu katika kufatilia tatizo la umeme likitokea.
5.Lazima atakaye funga umeme aache ramani ya msambao wa waya katika jengo.
Habari wakuu,
Ningependa kuelezea aina hii ya ufungaji umeme kwenye makazi,tofauti na ule wa kupitisha waya juu ya dari na ukuta.
Katika mfumu huu kiasi kikubwa cha wire zinapita katika ukuta na chini ya sakafu.
Mara nyingi upitishaji wa bomba(conduit) za kupitisha waya huwekwa kabla ya kupiga floor na plasta ya ukuta,vivo hivyo hata kama utatumia "armoured cable"
Mfumo huu unapunguza idadi ya waya zinazopita juu ya paa lako(darini),hivyo kupunguza asilimia za matatizo yanayopelekea moto kutokea sababu katika dari kuna material ambayo ni rahisi kukuza moto ukitokea,tofauti katika ardhi na ukuta.
FAIDA ZA MFUMO HUU
1.Zinapunguza uwezekano wa moto kutokea katika jengo kwasababu kama tatizo la umeme likitokea na waya zikaungua basi moto utakutana na mazingira ambayo hayaruhusu moto kusambaa (ukuta au ardhi)
3.Ni salama kulinganisha na mifumo mingine si rahisi kwa waya kuliwa na wanyama au wadudu.
HASARA
1.Ni gharama sababu unatumia bomba nyingi zaidi.
2.Unahitaji mtaalamu wa umeme ambaye mzoefu.
3.Ni mfumo usioruhusu maboresho(updates),kirahisi
4.Ni ngumu katika kufatilia tatizo la umeme likitokea.
5.Lazima atakaye funga umeme aache ramani ya msambao wa waya katika jengo.